Nape: Lowassa ameanza kufanya kampeni, yuko hatarini kuenguliwa

Nape: Lowassa ameanza kufanya kampeni, yuko hatarini kuenguliwa

Navyomjua jk hataki kupiga kelele na Lowasa anamsubiri kwenye kanuni dakika za mwisho amtandike hataamini masikio na macho yake.

Maneno meeengi vitendo sifuri,tangu enzi za kuvua gamba hadi leo EL yupo gado,mtaondooa nyinyi mtamuacha yeye,this time patachimbika,jaribuni kumuengua muone moto wake.Go Lowassa!
 
CCM itabomolewa na CCM wenyewe subiri uone muvi inayokuja.

ccm wakijaribu ujanja ujanja km ule waliowahi kumfanyia mrema au ule waliomfanyia samwel sitta juzi juzi nakuhakikishia wakijaribu tu kwa mheshimiwa Lowassa watasambaratika vibaya,mpaka dakika hii lowassa 2 ccm 0 halafu ni dakika ya 89..
 
Lowasa atakuja kulia kama mwanake mjane aliyefiwa na mume anachofanya ni uvunjifu wa kanuni.

acha kufikiri kwa kutumia rectum. lowassa anashawishiwa na wananchi akachukue fomu, kosa lake ni lipi mpaka aenguliwe? kwanini wasienguliwe hao wanaomshawishi?
 
Tatizo la Nape si makundi wala mambo anayofanya Mh. Lowasa, tatizo la Nape ni LOWASA mwenyewe, na hata angekaa kimya Nape angemtafutia sababu ya kumsema, Nape kaa mbali na Mh. Lowasa huyu ni zaidi ya umjuavyo, watu wana nyota zao, Nape hata reli wala namba huna.
 
Sielew kama EL asipochaguliwa kugombea itakuaje na ataweza kuvumilia kweli kwa jitihada zote anazofanya
 
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema kitendo cha mgombea mmoja anayepokea makundi ya watu ili wamshawishi kupiga kura huko Dodoma ni kuanza kampeni na yuko hatarini kuenguliwa.

Waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa ndiye anayepokea makundi ya watu wakiwemo masheikh, maaskofu na wanafunzi wakimshawishi kugombea.

Akizungumza na radio VOA, Nape alisema: "Labda niweke vizuri hili, mtu yoyote anayekiuka kanuni hatapitishwa labda kamaa anakwenda kugombea kwa chama kingine.

"Kinachofanyika Dodoma cha watu kuchukuliwa na magari huku wengine wakiwa hawajui, halafu wakifika wanakuta viti vimeshapangwa na vyakula;halafu eti wanamshawishi kugombea, ni kukiuka kanuni na anaweza kuondolewa," alisema Nape.

Lakini nape huu si utaratibu wenu mnaoutumia siku zote.Mara ngapi mmekuwa mkisafirisha watu na kuwapeleka kwenye mikutano yenu,kuwagharamia nauli na chakula,ili ionekane watu wanawakubali.Sasa mwanachama wenu anatumia mbinu zenu zile zile mnaanza Kupiga kelele.Ccm bwana mnachekesha
 
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema kitendo cha mgombea mmoja anayepokea makundi ya watu ili wamshawishi kupiga kura huko Dodoma ni kuanza kampeni na yuko hatarini kuenguliwa.

Waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa ndiye anayepokea makundi ya watu wakiwemo masheikh, maaskofu na wanafunzi wakimshawishi kugombea.

Akizungumza na radio VOA, Nape alisema: "Labda niweke vizuri hili, mtu yoyote anayekiuka kanuni hatapitishwa labda kamaa anakwenda kugombea kwa chama kingine.

"Kinachofanyika Dodoma cha watu kuchukuliwa na magari huku wengine wakiwa hawajui, halafu wakifika wanakuta viti vimeshapangwa na vyakula;halafu eti wanamshawishi kugombea, ni kukiuka kanuni na anaweza kuondolewa," alisema Nape.

Nape akili zake kama za kuku hivi nape hakumbuki tamko La boss wake kule songea kwenye maazimisho ya miaka 38 ya ccm?? Jk alisema kua kama kuna mtu mnamuona anafaa kua rais wananchi mkamshawishi... Nape kwa taarifa yako tunatimiza agizo La jk na tutaendelea kumfata lowasa kushawishi kugombea urais ukitaka vimba pasuka bwabwaja ila lowasa tutaendelea kumshawishi na huyo unaemtaka wewe hauziki na kauli zako hazitutishi mwaka huu mtaisoma namba nape na wehu wenzako rudini milembe mkatibiwe kwanza jitu zima halina adabu sura pana kama sinia La pilau tupishe huko usitutishe kwa kupitia mwamvuli wa ccm kaa kando ndege ya lowasa imeshapaa na itatua salama kama vipi kufaaaaa.
 
Mamvi kuingia nyumba nyeupe ni ndoto aisee....

Nani atakuwa Rais? Kumbuka Membe bado hajafukua yale mapesa ya Gadafi aliyoyafukia kwenye Handaki anatumia zile za Ufisadi Mdogo mdogo wa 10%!za Ununuzi wa nyumba za Mabalozi huko Ulaya na Safari za Viongozi nje na Wageni wanaokuja Tz, Nape kapewa pesa nyingi sana na Membe ahakikishe kuwa Lowasa hapenyi na pesa ikiisha ataenda kufukua zile za marehemu Gafafi na kuongeza Timu ya Fitna za kuwachachafya wale wote wenye nia ya kugombea URAIS, Membe hataki kusikia mtu anataka kwenda ikulu zaidi yake.
 
Nnatumai Nape anao ushahidi wa anayoyasema na kutuhumu watu. Kwamba watu wanaoenda dodoma wamelipwa na nani, kwa njia zipi na kwa sababu gani, la sivyo atakiaibisha chama kwa mara nyengine tena! Wananchi wameamua....acheni uzushi na uongo. Kwa nini mnawadhalilisha wananchi kiasi hiki? Waache kazi zao kwa kulipwa na kupewa chakula? Hivi wote walioonekana huko hawawezi kujinunulia chakula? Tena tunawaingiza mpaka viongozi wetu wa dini; maimamu na wachungaji!

Nnaungana na mtu wa Mungu mmoja aliyemtaka aokoke.....atubu na aokoke!!

Nape Nnauye amefanya kosa kubwa sana kuwatukana wachungaji na masheik kwamba wana njaa...hii ni sawa na kuutukana ukristo na uislamu. Ndugu Nape Nnauye upagani wako usikufanye unatukana dini za watu, mwogope sana Mungu hata kama humuamini. elewa kwamba hata huyo lucifer unayemuabudu aliumbwa na Mungu.
 
Last edited by a moderator:
Sielew kama EL asipochaguliwa kugombea itakuaje na ataweza kuvumilia kweli kwa jitihada zote anazofanya

Lowasa sio kama unavomfikiria wewe kwa akili zako za kuazima. Lowasa ni habari nyingine hapa Tanzania hababaishwi wala hatishiki na sisi tutaendelea kumshawishi na mtakufa midomo wazi... Hivi mpaka Leo wapo watanzania wasiojitambua kama wewe shabiki maandazi...ptuuuuuuuu
 
Nani atakuwa Rais? Kumbuka Membe bado hajafukua yale mapesa ya Gadafi aliyoyafukia kwenye Handaki anatumia zile za Ufisadi Mdogo mdogo wa 10%!za Ununuzi wa nyumba za Mabalozi huko Ulaya na Safari za Viongozi nje na Wageni wanaokuja Tz, Nape kapewa pesa nyingi sana na Membe ahakikishe kuwa Lowasa hapenyi na pesa ikiisha ataenda kufukua zile za marehemu Gafafi na kuongeza Timu ya Fitna za kuwachachafya wale wote wenye nia ya kugombea URAIS, Membe hataki kusikia mtu anataka kwenda ikulu zaidi yake.

Ahahahahahaaaa kwahyo FB Membe anataka kufanya kampeni kwa pesa za marehemu? Dah? Damu ya balozi wa Libya naomba Umpe kiwewe mwanzo mwisho
 
Lakini nape huu si utaratibu wenu mnaoutumia siku zote.Mara ngapi mmekuwa mkisafirisha watu na kuwapeleka kwenye mikutano yenu,kuwagharamia nauli na chakula,ili ionekane watu wanawakubali.Sasa mwanachama wenu anatumia mbinu zenu zile zile mnaanza Kupiga kelele.Ccm bwana mnachekesha

Ni kweli mbinu za kununua watu ni staili yake nape, Lakini Nape kaamua kujitoa Fahamu kisa Eti kanunuliwa na Membe kwa pesa Haramu za Marehemu Gadafii, Nape haongei yale maneno toka Rohoni bali kaamua kumfurahisha boss wake Membe.
 
Ahahahahahaaaa kwahyo FB Membe anataka kufanya kampeni kwa pesa za marehemu? Dah? Damu ya balozi wa Libya naomba Umpe kiwewe mwanzo mwisho

Fitina Zoote juu ya Lowasa zinafadhiliwa na Pesa za marehemu Gadafii na yule balozi wa libya ambaye ni marehemu alishamlaani Membe kwa kumuua hata afanye nini Membe hawezi kuwa Rais, Damu ya marehemu Balozi na dhuruma ya mapesa za Gadafi zimemganda ndiyo maana ameanza kutumia pesa hivyo mpaka afirisike, Nape kaamua kumchuna Membe kijanja Lakin baadae lazima atamgeuka tu, Tambua siasa za Tz huwa ni za Kinafiki.
 
Nape...atakuja jutia maisha yake...!!!

Siku EL anaapishwa...Nape atakufa siku si nyingi zijazo..

Nape yeye ni mhuni na msema hovyo..na team Membe...
amekuwa team Membe tokea mwanzo, ila EL anawazidi kila kitu, nasema tena SIKU EL ANAAPISHWA...NAPE ATAKUFA SIKU SIO NYINGI...!!!

Nape anafikiri kwa tumbo lake....atajutia...!!!
 
Kwani baba havintishi si aliruhusu watu kuwashawishi wenye sifa wagombee urais???Nape mbona anabwabwaja na yeye si akamshaishi mende agombee???

Ha ha ha eti "Baba Havintishi"
 
Back
Top Bottom