Nape: Lowassa ameanza kufanya kampeni, yuko hatarini kuenguliwa

Nape: Lowassa ameanza kufanya kampeni, yuko hatarini kuenguliwa

Ni kweli mkwere anaweza kukuuwa huku anatabasamu lakini cha kujiuliza huyu mzee mamvi hayajui yote hayo? Je hamjui rafikiye? Je haogopi kuenguliwa? Au hiki kibri anakipata wapi maana kapewa onyo lakini hajali what is he up to?
Anachokifanya Lowassa ni kujaribu kuaminisha au "kuwatisha" watu haswa Wana Ccm kwa kuwaonyesha kua anakubalika na jamii ili waogope kumwengua.
 
Ni kweli mkwere anaweza kukuuwa huku anatabasamu lakini cha kujiuliza huyu mzee mamvi hayajui yote hayo? Je hamjui rafikiye? Je haogopi kuenguliwa? Au hiki kibri anakipata wapi maana kapewa onyo lakini hajali what is he up to?

Mkuu kwani watu kuja kwako kukuomba ugombee urais ni kufanya kampeni????
 
Nape kula ukue huwezi mziki wa Lowasa na wala sio saizi yako.hayo maneno ageongea kinana au jk hapo sawa wewe ni bure subiri uone
 
heeh! kumbe wanafunzi wa UDOM walichoka kula kwa wajas wakaona wabadilishe menu kwa naniliu! njaa mbaya!

teh teh mkuu hapa dom wewe piga mishe zako ukifika muda wa lunch unajongea area D kwenda kumshawishi, free menu na posho juu!
 
Navyomjua jk hataki kupiga kelele na Lowasa anamsubiri kwenye kanuni dakika za mwisho amtandike hataamini masikio na macho yake.

Mamvi alikuwa campaign manager wake mkwere 2005 na alishinda kwa kishindo. Walikuwa wote ccm mtandao na bwana mdogo nape amewakuta kwenye system.
Sasa tumsubiri mchezo wa ccm utakavyosambaratika na kufungua mwanya wa upinzani kupata angalau 75percent ya wabunge, na urais at least 47perc
 
MBONA LOWASA NI KM MBUZI WA SIKUKUU. UPINZANI WALA HATUMSEMI VIBAYA ILI CCM WAMSIMAMISHE NA I SWEAR CCM HAWATOAMINI MACHO YAO KWA KICHAPO TUTAKACHOMPA FISADI Uyu..

Wanampitisha Hon .Dr. J.P. magufuli
 
Kama kuna watu wasiojua siasa za Tz, wajinyamazie tu. JK alisema mapema kabisa kuwa wale viongozi wema huwa hawajitangazi kwani hawajijui. Akasema, waendeeni mkawastue huenda wakaamka.
JK hajasema waendewe lini na mda gani. Hivyo wanachama wa ccm wanafanya kama agizo la m/kiti ambaye huwa kapingwi. Weye Nape, unapata wapi huo ujasikri wa kumpinga m/kiti? Nasema EL hajajitangaza, ni mpango wa m/kiti wake astuliwe
 
Walifanya uchafu mwingi sana na kundi lao la mtandao na kutumia mabilioni ya shilingi ili kununua Urais wa Kikwete. Mamvi akianika uchafu huo hadharani Ikulu AKA danguro la mafisadi hakutalalika

nape achana na mamvi,hujiulizi kwa nini jk anamuogopa?!
 
ni kampeni, haiwezekani wala haifikiriki wazee kutoka bagamoyo kwenda dodoma kumpatia pesa laki 7 ndugu lowasa eti achukue form ya kugombea urais, ni mahaba gani hawa wazee walionayo kwa lowasa na kumpatia hizo pesa??? THERE IS SOMETHING BEHIND
 
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema kitendo cha mgombea mmoja anayepokea makundi ya watu ili wamshawishi kupiga kura huko Dodoma ni kuanza kampeni na yuko hatarini kuenguliwa.
Waziri mkuu wa zamani Edward Lowassandiye anayeppkea makundi ya watu wakiwemo masheikh, maaskofu na wanafunzi wakimshawishi kugombea.
Akizungumza na radio VOA, Nape alisema: "Labda niweke vizuri hili, mtu yoyote anayekiuka kanuni hatapitishwa labda kamaa anakwenda kugombea kwa chama kingine.
"Kinavhofanyika Dodoma cha watu kuchukuliwa na magari huku wengine wakiwa hawajui, halafu wakifika wanakuta viti vimeshapangwa na vyakula;halafu eti wanamshawishi kugombea, ni kukiuka kanuni na anawezakuondolewa," alisema Nape.

Poor show from Nape...

CCM wako extremely desperate, so si ajabu watamsimamisha Lowassa. Na akisimamishwa Lowassa halafu UKAWA wasipomsimamisha mtu strong na kukubalika kama Dr Slaa, mzee mamvi ataingia Magogoni na hapo Nape itabidi awe mkimbizi tu!

Sasa sijui atakimbilia kwa mama Msumbiji au Malawi kwa baba (Mwandosya)..!!!
 
CCM kuna udikteta Na ukiritimba Wa Hali ya juu! Au Ni kumuogopa Lowasa, inakuwaje wanachama wengine waruhusiwe kuongea mambo yahusuyo urais-siyo kampeni lakini Lowasa haruhusiwi?
 
heeh! kumbe wanafunzi wa UDOM walichoka kula kwa wajas wakaona wabadilishe menu kwa naniliu! njaa mbaya!

huyu Raisi mtarajiwa sijui hii degree ya sindimba alisomea wapi?? hajenda refresher kabisa huyu anasahau kuwa tuko enzi za bongo flevour ama haoni hata wapiga ramli wame expire.usanii huu haufai saa hizi
 
Lowassa asipogombea ccm,wemekwisha.
Hakuna Presidential candidate ccm anayemkaribia Lowassa hata kwa mbali."Quote my words"

Unajidanganya yaani kama hakuchaguliwa fisadi hakuna mwingine?
 
Nape haijui ccm kama Lowasa aijuavyo, Nape haijui siasa kama Lowasa aijuavyo. Kwa ufupi Nape kwa lowasa ni sawa na kiroboto juu ya mgongo wa Tembo.
Nakushauri bwana mdogo Nape uachane na Lowasa na uwe biz kutafuta uraiya wa nchi utakayokwenda kupumzika kwanzia October30
 
Na wale waliomfuata mwandosya vipi? Kwa hiyo mnaidharau maamuzi ya wananchi ngoja siku ifike muone. Wananchi wamefuata tamko la mwenyekiti. sasa hao wananchi mnawadharau. Nape nawe ukitumwa kuwa kama mayuwayu ambaye anachanganya akili ya kuambiwa na ya kwake. Soma alama za nyakati. Anayekutuma atakugeuka mchana halafu utabakia mwenyewe. Halafu jamani wapinzani ndio wanomkubali lowassa kuliko hata wana ccm. Kama mnataka njooni vijiweni. CCM bila Lowassa ni mwisho wake mwaka huu kama kanu vile. haya maneno mtayakumbuka.
 
Back
Top Bottom