Nape: Dk. Slaa ni Muongo na Mzushi aliyebobea

Nape: Dk. Slaa ni Muongo na Mzushi aliyebobea

Tuna lijua hilo Nape Slaa anatafuta huruma ya wananchi na CDM yake!
 
nape matokeo ya sumbawanga umeyapata?
Kwani wewe Ndio Nappe.?
Ninayo ya Tanzania mzima, na kwa Ufupi tu, nipo ziarani Dodoma na niwape habari kuwa MKOA WA DODOMA, CCM imeshinda kwa wastani wa asilimia 95..

Lakini nimewauliza hizo asilimia 5 kwanini mmewapa..? wakasema wamewaonea huruma, lakini niliwashauri kuwa wakimfukuza Mwendawazimu wahakikishe wanatupa na Makopo yake pia.
 
Mpk mwez wa kumi tutaskia mengi, ila lisemwalo lipo madaraka ya ubwenyenye matamu bhana!
 
Namshauri mdogo wangu nape.
Dr.slaa siyo saizi yake,walishindwa kina mkapa kubato naye,atakuwa nape uyu mtt wa kuasiliwa?
 
Nadhani CCM hawana wataalamu wa kuratibu mauaji, yaani huwa wanasubiri bado siku chache za uchaguzi ndio wana panga mauaji ya DK. Uchaguzi ukiisha wanamsahau eanangojea miaka minne tena ipite!!!!!!
 
Hizi siasa za majitaka mbaya sana, hapo kujua nani mkweli na muongo ni kazi sana na ndio siasa ilipofikia hakuna mwanasiasa au Chama ambacho Kuna fanya siasa safi, nanyi chadema mkitoa tuhuma kama hizo bila kutupa ushahidi kila siku mtatoa ila tunasubiri bila kupata uthibitisho mnaanza kupoteza credibility kwetu na ccm pia mfanye siasa safi jamaa

Mkuu soma uchangiaji wa watu utajua vyama vinawalisha wafuasi mlo wanaoupenda. . .Watanzania baadhi wamekuwa misukule hawatumii akili kabisa akisikia jina la chama chake hachuji taarifa wala nini anameza tu!!

Wajinnga ni chakula cha wanasiasa!!
Taarifa kama hii haisemi chama kinatarajia kufanya nini baada ya kiongozi wake kutajwa katika hii kadhia, unajiuliza umuhimu wa hii taarifa uko wapi??!!!
 
Hivi huyu Nape alikwishampata baba yake? Hizi ndizo shida za watoto wa vichakani!
 
Kuna usemi kua politics is a dirty game ila sio kwa style hio, nani akuue, acheni uongo, ila Chadema mmezidi ku fabricate mambo.
 
Mussa Allan aka Msalani na wenzako wote nawashauri mjipe moyo lakini msijaribu kuiba kura October 2015 ndipo mtakapo ifahamu nguvu ya umma maana yake ni nini. Sinema na vioja vya Nape na Kamanda Kova ni sehemu ya propaganda ili kubaki madarakani kwa kuiba kura. Acheni woga. Sisi tupo na Yehova kama Paulo na Sila
 
Yaani CCM kweli imekufa tamko la kichama hilDo ...usaha mtupu!! Hkuna jipya jibuni hoja......
Na kwa bahati nzuri, tamko limeonyesha kuwa kuwa kweli CCM hawampendi kabisa Dr Slaa..angalia tamko la CHADEMA kama chama..anatamkwa Dr Slaa!! Hii ni ajabu kabisa..na kwenye ishu nzima hakuna mahali Dr Slaa kasema yeye ndie kagundua kuwa wanataka kuua!!

CCM inasema CDM inapumulia mashinee!! Uwiiii...kweli chama hiki kimekufa kabisa..juzi tu uchaguzi serkali za mitaa...pamoja na hila zoote kimepoteza viti vcingi kwa CHADEMA kuliko wakati mwingine wowote tangu kuumbwa kwa CCM!!
 
Sasa Slaa na uzee kama ule nani amuue

Chadema wakati mwingine watafute vya maana vya kusema

UCHAGA UDINI NA UKABILA UNAKIUA HIKO CHAMA.
Kwani vikongwe wa kanda ya ziwa nani huwa anawauwa? CCM mikono yenu inanuka damu!
 
Nape wewe siyo size ya Dr. Slaa hata kidogo uliyoandika hayo hapo ni mwemko na porojo mbona mlikata kunda tume huru ya kiuchunguzi kuhusu boom la soweto?
 
Ninayo ya Tanzania mzima, na kwa Ufupi tu, nipo ziarani Dodoma na niwape habari kuwa MKOA WA DODOMA, CCM imeshinda kwa wastani wa asilimia 95..

Lakini nimewauliza hizo asilimia 5 kwanini mmewapa..? wakasema wamewaonea huruma, lakini niliwashauri kuwa wakimfukuza Mwendawazimu wahakikishe wanatupa na Makopo yake pia.

Je na Muleba utakuja kutuuliza? Kila pale ambapo hamukusabisha watu wasichague wampendae (mapingamizi), CCM mlipigwa chini. Unatuambia watu wa Dodoma, ambapo ni sawa kufananisha mstaarabu na bumbumbu. Sumbawanga wapi na wapi kuifananisha na Dodoma? Dodoma saizi yao in Singida. Mwanza saizi yao ni Shinyanga. Arusha Saizi yao ni Mbeya. Animals are equal but some are more equal than others. Sasa mwezi wa kumi tutupa Jongoo (CCM) na mti wake. Nape jiandae kisaikolojia.
 
Kwani nape hujui slaa kuwa ni katibu wa kundi la wazee waongo?

mzee slaa ameanza uongo tangu akiwa kanisani akiwa padri atashindwa leo kuongopa uraiani?

Mshaurini Nape akue. Tuhuma hizi angeweza kuzijibu kwa paragraph moja inayoonyesha kuthamini uwembo wa serikali na vyombo vya dola. Hizi longolongo alizoweka hapa zinadhihirisha kuwa chama chao hakina watu wenye akili ya kuona mambo katika mitazamo yenye kukisafisha kwa uchafu unaofanywa na makada wake kila kona ya nchi.
 
Back
Top Bottom