Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
nape, naamini bado kuwa wewe ni miongoni mwa wanasiasa wachache wenye uvumilivu na IQ ya juu kabisa ktka medali za siasa tuliokuwa nao TZ, lakini kitendo chako cha kutoweza kusoma alama za nyakati haswa wakati huu ambao cdm wanatumia madhaifu ya ccm kujiimarisha unanisikitisha sana. Na wewe unakubali kuwa kwenye siasa za kizamani za kina wasira makamba senior na wengineo? please nape WAKE UP, njoo na siasa za kishindan na kisasa zaidi haswa kwa kucheza pia na alama za nyakati na uhalisia wa kichwa vya watanzania wa leo
.
Mkuu hahahaa....IQ ya juu halafu anafanya siasa za Wasira?? Sasa ujuu uko wapi hapo??
Au ulikuwa unaongelea ndugu zake wa kule Mahale mountains??