Akiwa makambako nape amekutana na zahama hiyo baada ya kukataa kuulizwa maswali na wananchi.
Baada ya kuona wanamzomea na kuonyesha alama ya v inayotumiwa na cdm naye kawaonyesha alama ya matusi kuwajibu. Asema wanaohama ccm ni oil chafu azomewa, asema slogan ya m4c imekosewa ilibidi iwe movement for demokratic change, aambiwa hiyo ni ya ccm na si cdm. Leo wamepata aibu ya mwaka.
Source ni mimi mwenyewe niliyekuwepo kwenye mkutano
Baada ya kuona wanamzomea na kuonyesha alama ya v inayotumiwa na cdm naye kawaonyesha alama ya matusi kuwajibu. Asema wanaohama ccm ni oil chafu azomewa, asema slogan ya m4c imekosewa ilibidi iwe movement for demokratic change, aambiwa hiyo ni ya ccm na si cdm. Leo wamepata aibu ya mwaka.
Source ni mimi mwenyewe niliyekuwepo kwenye mkutano