Nape ndio kiboko yao. Silaha za maangamizi ziko pembeni, zimetulia tuli.
Labda kwenye vipodozi lakini kwenye siasa neh kemcho sunche papeto,kamshindwa Lowasa,Chenge nk na sasa kachanganyikiwa ana harahara tu hajui afanye nini zaidi ya kueneza vipodozi tu.