Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,134
Contradictory............Nape ameingia Mbeya mchana huu, hakika nimeshangaa vijana wengi wa vyuo wamempokea na kwenda naye ukumbini ambako nako tumekuta watu wengi ajabu waliotambulishwa kama wanafunzi wa vyuo vya Elimu ya juu Mbeya. Kagawa kadi mpya kwa wanachama wa CCM 167!!!Hivi bado kuna wapuuzi wanaojiita wasomi wanawasikiliza magamba jamani?? Wanachelewesha ukombozi wa nchi yetu! Sugu kamanda angalia umeingiliwa huKu!!
Vyuo vikuuu vitaje. Mbeya kuna vyuo vikuu????? Toka lini? Kuna vyuo vikuuu ambavyo ni questionable, utitili wa vinavyoitwa vyuo vikuu na wanafunzi wake ni hao hao wa borderline passes. What do you expect of them!!!! Vyuo vikuu ni UDSM, MUHAS, SUA basi. Najua mtalalamika na kunitukana!!!, huo ndio ukweli, basi, full stop!!!!!!!!
sorry,did you mean nape kavurugwa na chadema?????Nape ameingia Mbeya mchana huu, hakika nimeshangaa vijana wengi wa vyuo wamempokea na kwenda naye ukumbini ambako nako tumekuta watu wengi ajabu waliotambulishwa kama wanafunzi wa vyuo vya Elimu ya juu Mbeya. Kagawa kadi mpya kwa wanachama wa CCM 167!!!Hivi bado kuna wapuuzi wanaojiita wasomi wanawasikiliza magamba jamani?? Wanachelewesha ukombozi wa nchi yetu! Sugu kamanda angalia umeingiliwa huKu!!
hawa wagambo humwaga,hupola na kula vyakula mama lishe,siku watawekewa sumu!!!nape yupo hapo?saluti za nini magamba wanapagawa kweli
hivi huyo pembeni siyo ray mwangwala? hapo si ukumbi wa mkapa? na kwanini wamewavisha watoto mishati ya watu wazima?
Watoto wa shule wanafanya nini kwenye mikutano ya siasa za Nape? Kama anataka watoto wa shule ajaribishe international/saint schools.
Mi namkubali si unaona!!?
Nape ameingia Mbeya mchana huu, hakika nimeshangaa vijana wengi wa vyuo wamempokea na kwenda naye ukumbini ambako nako tumekuta watu wengi ajabu waliotambulishwa kama wanafunzi wa vyuo vya Elimu ya juu Mbeya. Kagawa kadi mpya kwa wanachama wa CCM 167!!!Hivi bado kuna wapuuzi wanaojiita wasomi wanawasikiliza magamba jamani?? Wanachelewesha ukombozi wa nchi yetu! Sugu kamanda angalia umeingiliwa huKu!!
Ha ha ha nilifikiri nimeona mie tuu manake nimekauka kicheko yaani nguo za babu zao wamevalishwa wao jamani CCM embu kuweni na ujasiri wa kukubali mapungufu mbona munaangukia visogo vyenu wenyewe dunia ya leo unaweza ukawa hata na propaganda za kuwavalisha watoto wa wenyeviti wa CCM vitongoji na kuwafanya chipukiziHalafu watoto wenyewe wanawavalisha nguo za watu wazima! Hawa watoto badala ya kuwa shuleni wanawapeleka kwenye siasa, mwisho wa yote ni kwamba watafeli tu.
Join Date : 22nd June 2012Ni Id yako yako ya ngapi hii?
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0
ameivuruga vipi chadema, kwani hao alowapa kadi ni wanachama wa Chadema, asiote kuivuruga chadema Mbeya, labda Bagamoyo, JK mwenyewe Mbeya anaigwaya, sembuse huyo houseboy wake
hivi huyo pembeni siyo ray mwangwala? hapo si ukumbi wa mkapa? na kwanini wamewavisha watoto mishati ya watu wazima?