mjomba wa kale
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 266
- 56
Waziri mkuu yupi tanzania alishawahi fukuzwa kazi! Historia haidanganyi, nyerere alishasema hafai ni mwizi, leo hii unataka kutuaminisha kuwa anafaa, kamjaribu kwenye biashara zako ila si kwa nchi
Kwani nyerere yeye ndie alikuwa kipimo cha usafi?