Nape Amfunika Vibaya Mwakyembe Leo Uwanja wa Taifa

alvinroley

Member
Sep 30, 2016
71
251
Uwanja mzima ulilipuka kwa shangwe Leo uwanja wa taifa pale Nape Nauye alipoingia uwanjani jukwaa la VIP. Watu waliimba Jembe, jembe, jembe huku mwakyembe ambaye aliingia hata watu hawakuwa na habari naye akitabasamu na yeye pia akipiga makofi huku akimuangalia Nape.

Watu waliimba kwa dakika kadhaa huku Nape akiwasalimu kwa kunyoosha mikono juu.
Leo ilikuwa mechi ya Taifa Stars na Botswana ambapo waTZ tulishinda goli mbili kwa sifuri huku goli zote mbili zikifungwa na Samatta
 
Uwanja mzima ulilipuka kwa shangwe Leo uwanja wa taifa pale Nape Nauye alipoingia uwanjani jukwaa la VIP. Watu waliimba Jembe, jembe, jembe huku mwakyembe ambaye aliingia hata watu hawakuwa na habari naye akitabasamu na yeye pia akipiga makofi huku akimuangalia Nape. Watu waliimba kwa dakika kadhaa huku Nape akiwasalimu kwa kunyoosha mikono juu.
Leo ilikuwa mechi ya Taifa Stars na Botswana ambapo waTZ tulishinda goli mbili kwa sifuri huku goli zote mbili zikifungwa na Samatta
Hapo kamfunika vipi sasa?Kwani mgeni Darisalamu?Dar we chimba tu shimo anza kujadiliana na fundi wako huku mkiliangalia hilo shimo,baada dak 10 watu watajaa tu na wao kushangilia
 
Uwanja mzima ulilipuka kwa shangwe Leo uwanja wa taifa pale Nape Nauye alipoingia uwanjani jukwaa la VIP. Watu waliimba Jembe, jembe, jembe huku mwakyembe ambaye aliingia hata watu hawakuwa na habari naye akitabasamu na yeye pia akipiga makofi huku akimuangalia Nape. Watu waliimba kwa dakika kadhaa huku Nape akiwasalimu kwa kunyoosha mikono juu.
Leo ilikuwa mechi ya Taifa Stars na Botswana ambapo waTZ tulishinda goli mbili kwa sifuri huku goli zote mbili zikifungwa na Samatta
Kesho utasikia mkuu akisema kwa nini wanamshangalia wakati ana kosa moja na wasimshangilie yule mwingine!!
 
Magufuli huenda atapiga mkwara tena kuzuia uwanja wa taifa kutumika kwa michezo ya mpira, maana badala ya kushabikia mpira watu wameanza kuleta siasa!!
Mwakyembe naye ataambiwa ni Msaliti, kwanini apige Makofi na akae na kucheka na Nape pamoja.

Ngosha ana gugu yule.
Wivu umemkaa mpaka basi.
 
Na mr mtukufu bado kamkumbatia bashite dahhh
wp_ss_20170325_0002.png
 
Back
Top Bottom