Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 18,881
- 29,382
Huyu Januari yuko overrated sana, hana uwezo wowote wa kuwa Rais wa Tanzania. Watu wanasahau kuwa bila kupigiwa debe na baba yake kwa JK huyu kipara angekuwa mpagazi tu kama wasambaa wengine pale Kariakoo (WAGROVESU). Hana CV ya kujivunia mwenyeweHizo ni mbinu zao za kimkakati hizo.hao ni majambazi