Nape adai Januari Makamba ana akili sana

Nape adai Januari Makamba ana akili sana

Huyo January si ndio Kuna Uzi wake ulishawahi kuwekwa humu aliiba Mitihani Galanos ?! Napata mashaka.
Wenye akili hawaibi mitihani bali wanapenda kufanya mitihani
 
  • Thanks
Reactions: EEX
Sema January huwa ana mvuto wa kisiasa na sema ana kashfa kibao aliniuzi alipojieguza marketing manager ya Taifa gas na kuuza mitungi waziri mzima kuna mambo mengi ya kufanya sio kuuza majiko ya Gas stupid
 
Huyu Januari yuko overrated sana, hana uwezo wowote wa kuwa Rais wa Tanzania. Watu wanasahau kuwa bila kupigiwa debe na baba yake kwa JK huyu kipara angekuwa mpagazi tu kama wasambaa wengine pale Kariakoo (WAGROVESU). Hana CV ya kujivunia mwenyewe
Kama january hana CV raisi wako samia aliyefeli kidato cha nne ana CV gani?
 
Sema January huwa ana mvuto wa kisiasa na sema ana kashfa kibao aliniuzi alipojieguza marketing manager ya Taifa gas na kuuza mitungi waziri mzima kuna mambo mengi ya kufanya sio kuuza majiko ya Gas stupid
Alikuwa anajiweka karibu na Kingmaker
 
View attachment 3589373

Akihojiwa kwenye podcast ya Omari Kashera/Salma Dakota amedai hivyo.

"Ukimpima nyani kwa kigezo cha kupanda miti, utadhani kobe ni mzembe na nyani ni genius."

Nape na elimu yake ya masomo ya jioni halafu Chuo Kikuu cha uchochoroni huko India hawezi kujua akili kubwa ni ipi ..... muoneeni huruma tu.
 
Rafiki yake huyo kadinali mbona alinyoa kipara na aliongoza nchi?
Hiyo kauli siyo kweli, hakusema.
Alisema,unabisha nini!?
Kuhusu dada yake kipara na Muitaliano nadhani haujui nini kilitokea.
Najua,ni uzushi tu na mengine ni personal
Fuatilia humuhumu JF ipo hiyo habari.
Kuhusu kuwa na bachelor hakufuti kosa lililofanyika elimu ya sekondari.
Kufutiwa mtihani kisa majibu kufanana na wengine siyo wizi
 
View attachment 3589373

Akihojiwa kwenye podcast ya Omari Kashera/Salma Dakota amedai hivyo.

"Ukimpima nyani kwa kigezo cha kupanda miti, utadhani kobe ni mzembe na nyani ni genius."
Kwa hiyo yeye Nape hana akili, labda karithi uduwanzi kutoka ujombani maana baba yake halisi ni Profesa.
downloadfile-28.jpg
 
Alisema,unabisha nini!?

Najua,ni uzushi tu na mengine ni personal

Kufutiwa mtihani kisa majibu kufanana na wengine siyo wizi
Kufanana majibu ya mtihani ni wizi, usititee hili hata kama wewe ni ndugu wa Makamba
 
View attachment 3589373

Akihojiwa kwenye podcast ya Omari Kashera/Salma Dakota amedai hivyo.

"Ukimpima nyani kwa kigezo cha kupanda miti, utadhani kobe ni mzembe na nyani ni genius."
Mtu ambaye hawezi kumudu kununua hata baiskeli akikuona unamiliki mtumba wa Toyota IST lazima atakuvulia kofia. In fact, hawezi kujua kama wewe na Mo mnatofautiana sana kwa utajiri.
 
Back
Top Bottom