Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Anasema kipindi kilichopita kilikuwa na kikundi kinaitwa task force.
TRA walikuwa wanafunga account za wafanyabiashara kwa kisingizio cha kukusanya kodi kwa kutumia Task force hivyo kufilisi wafanyabiashara.
Ila kwa utawala wa mama yetu hilo jambo limekomeshwa.
Hakika nimeamini kuwa kila masika ina mbu wake.
Nape Nnauye amesema kuwa huko nyuma kulikuwa na wafanyabiashara ambao waliteseka kwa kufungiwa akaunti zao na kikosi kazi cha TRA. Sasa hivi wafanyabiashara chini ya utawala wa Rais Samia mambo yao yanakwenda sawasawa.
Nape ameongeza kuwa wafanyabiashara ambao wameguswa na jambo hilo waende mtandaoni wakaandike mema ambayo wanadhani Rais Samia amewagusa na waandike Hashtag ya #TunasimamaNaSamia
Ameongeza kuwa huko nyuma tulikuwa yunakimbizana kuchangishana pesa za kujenga madarasa, lakini sasa hivi Mama Samia ameleta hela madarasa yamejengwa na wanafunzi wanasoma vizuri. Pia ni Rais Samia ambaye amesema watoto wasome bure kuanzia darasa la awali mpaka kidato cha sita, na wanachuo wapatiwe mikopo.
Hivyo amewataka wote walioguswa na Rais Samia kwenda mtandaoni na kuandikwa jinsi walivyoguswa na kumalizia na Hashtag ya #TunasimamaNaSamia
Pia soma: Kampeni za Uchaguzi 2025 zimeanza?
TRA walikuwa wanafunga account za wafanyabiashara kwa kisingizio cha kukusanya kodi kwa kutumia Task force hivyo kufilisi wafanyabiashara.
Ila kwa utawala wa mama yetu hilo jambo limekomeshwa.
Hakika nimeamini kuwa kila masika ina mbu wake.
Nape Nnauye amesema kuwa huko nyuma kulikuwa na wafanyabiashara ambao waliteseka kwa kufungiwa akaunti zao na kikosi kazi cha TRA. Sasa hivi wafanyabiashara chini ya utawala wa Rais Samia mambo yao yanakwenda sawasawa.
Nape ameongeza kuwa wafanyabiashara ambao wameguswa na jambo hilo waende mtandaoni wakaandike mema ambayo wanadhani Rais Samia amewagusa na waandike Hashtag ya #TunasimamaNaSamia
Ameongeza kuwa huko nyuma tulikuwa yunakimbizana kuchangishana pesa za kujenga madarasa, lakini sasa hivi Mama Samia ameleta hela madarasa yamejengwa na wanafunzi wanasoma vizuri. Pia ni Rais Samia ambaye amesema watoto wasome bure kuanzia darasa la awali mpaka kidato cha sita, na wanachuo wapatiwe mikopo.
Hivyo amewataka wote walioguswa na Rais Samia kwenda mtandaoni na kuandikwa jinsi walivyoguswa na kumalizia na Hashtag ya #TunasimamaNaSamia
Pia soma: Kampeni za Uchaguzi 2025 zimeanza?