Napata utata kuhusu video za Humphrey Polepole

Napata utata kuhusu video za Humphrey Polepole

Kuna muda na msapot Polepole lazima tujenge ile nchi ya kukosoana tukiwa ndani ili hawa watawala manyani wasianze mambo ya

Ila namlaumu kwa kutokwenda angalau kuishi penye ulinzi mkali ndani ya nchi!

Angekuwa na Mabaunsa kama 30 hivi

Hao ni ma dayaspora tuuu


Britanicca
We jamaa tuambie Polepole alipo.
 
Kilichotokea kwa polepole ni sawa na lowasa.
Polepole aliambiwa tangulia tunakuja, anza kwa kuandika barua ya kujiuzulu, wewe ndiyo utaongoza mapambano. Jamaa kavuka mto akajikuta yupo peke yake.
Lowasa aliambiwa tangulia chadema tunakuja akajikuta yupo na mgeja, mgana msindai na guninita
Wenzake wale walomwambia tangulia ndo wakawa wanamcheka
Aliyemchoma H. P ni Mzee butiku. Huyu ni miiongoni mwa walomwambia jamaa atangulie
... mtu asiyeridhika na kingi alichonacho mwisho wake huwa sio mzuri!
 
Kilichotokea kwa polepole ni sawa na lowasa.
Polepole aliambiwa tangulia tunakuja, anza kwa kuandika barua ya kujiuzulu, wewe ndiyo utaongoza mapambano. Jamaa kavuka mto akajikuta yupo peke yake.
Lowasa aliambiwa tangulia chadema tunakuja akajikuta yupo na mgeja, mgana msindai na guninita
Wenzake wale walomwambia tangulia ndo wakawa wanamcheka
Aliyemchoma H. P ni Mzee butiku. Huyu ni miiongoni mwa walomwambia jamaa atangulie
Sasa Butiku nae ana nguvu gani serikalini au kwenye chama.
Lakini Wapo waliodai kuwa Polepole alirogwa,
 
Kuna muda na msapot Polepole lazima tujenge ile nchi ya kukosoana tukiwa ndani ili hawa watawala manyani wasianze mambo ya

Ila namlaumu kwa kutokwenda angalau kuishi penye ulinzi mkali ndani ya nchi!

Angekuwa na Mabaunsa kama 30 hivi

Hao ni ma dayaspora tuuu


Britanicca


Kuweka mabounsa tena zaidi ya 30 utahitaji mambi makuu mawili au jati ya haya mawili

1. Pesa za kuwalipa.
Kitu ambacho polepole hakuwa nacho.

2. Imani na itikadi. Vijana wanamuamini na falsafa zake.
Angewapata wapi?
 
Kuna muda na msapot Polepole lazima tujenge ile nchi ya kukosoana tukiwa ndani ili hawa watawala manyani wasianze mambo ya

Ila namlaumu kwa kutokwenda angalau kuishi penye ulinzi mkali ndani ya nchi!

Angekuwa na Mabaunsa kama 30 hivi

Hao ni ma dayaspora tuuu


Britanicca


Kuweka mabounsa tena zaidi ya 30 utahitaji mambi makuu mawili au jati ya haya mawili

1. Pesa za kuwalipa.
Kitu ambacho polepole hakuwa nacho.

2. Imani na itikadi. Vijana wanamuamini na falsafa zake.
Angewapata wapi?
 
Kwamba ndugu Polepole alikuwa hajui kama kujirecord vidio kama zile na upo ndani ya nchi ingemletea shida?

Kwamba alikuwa na uelewa mdogo kuhusu teknolojia?

Inakuwaje unajipiga picha au recording na kusema hapa ni wapi kwa jinsi teknolojia ilivyokuwa

Au kipindi anafanya hayo alilewa🙄

Pia soma Kupotea kwa Humphrey Polepole kumefanya hata walio CCM wajione wao sio lolote wala chochote. Ni onyo ma kitisho
Hakuna teknolijia hiyo kama ipo tuekezee, zaidi ni mzee butiku ndie alimchoma
 
Polepole pengine ujana wake kuna mambo kuyapitia yamemletea Shida ukubwani!


1
hakuwai kuwa na mke wala Mtoto
Lkn alipenda sana Totoz 👈

2.
Alipenda kujimwambafai sana kuenda mikoa ya kwao kujionesha ukubwa wake mpya!

Yawezekana hakuwai kujiandaa kushuka chini baada ya kuwa juu kwamaana ndoto zake zilikuwa za kupanda tu zaidi sio kuporomoka chini!!

Ktk ili la kuporomoka inawezekana ndio tatizo kubwa kwake limefanya ajione kama sio yeye tena

Alitakiwa tu kutafuta Tiba halaka ya kisaikorojia zipo dawa unapewa za kumeza unatulia vizuri na Maisha yanaendelea.

Kisa cha Polepole Familia yake wamekosa kuwa msaada kwake wenye njia.

Tatizo la Polepole linawapata watu wengi sio lazima uwe mwanasiasa

wengine kushushwa tu cheo kazini kwake msongo wa mawazo uchukua Nafasi!

Kuna ndugu yangu alikuwa Ulaya miaka 14
kuna janga kasababisha uko Wazungu wakamrudisha Tz na passport yake wakaifanya hawezi tena kuingia Ulaya

Alisumbua sana kutafutiwa walimu wa Dini kumuombea !!

siku nikamfata nikamuuliza unajisikia vipi

akanambia najiona kama nipo chooni sasa nataka kutoka lkn siwezi!!😇😇

Uko Ulaya kaacha mambo yake mengi sana tena gafra upo Tanzania
Nikaenda naye Muhimbili kuonana na Wajuzi kapewa Dawa sasa mwaka w3 kashasau Ulaya Maisha yanaendelea vizuri tu Tz.

Tatizo kama la Polepole kwangu mm sio la kuombewa❌️
ni la Muhimbili Pengine hasingefika pale alipo leo i9✅️

Watanzania tumejenga zana kuwa Muhimbili kuna hodi ya Vichaaa ivyo wanaotakiwa kwenda ni vichaa tu !!

kumbe sio ukiona ndugu yako yupo na msongo mkubwa wa mawazo kashuswa kutoka juu Ubunge Ulaya Cheo kukimbiwa na Kipenz chake

Halaka mpeleke Muhimbili zipo Dozi aina nyingi sana !!!

kumwacha vile jinsi alivo nitatizo kuna kujiua kuna kuvua nguo kabisa barabarani kuna kuropoka ropoka kama Polepole.

Sio Binadamu wote wenye kuweza kupitia misuguano mikubwa kwenye akili zao wakaweza
kutoboa👈

ivyo wengine tunapaswa kuwasaidia kwenye icho kipindi mpaka wakae sawa✍️
 
Daaah Tanzania??? Kumlaumu polepole kwa kukosoa hadharani bila kificho .... na si kulaumu watekaji na wauaji .huu ni upumbavu wa kiwango cha mende
 
Back
Top Bottom