Napata utata kuhusu video za Humphrey Polepole

Napata utata kuhusu video za Humphrey Polepole

Daaah Tanzania??? Kumlaumu polepole kwa kukosoa hadharani bila kificho .... na si kulaumu watekaji na wauaji .huu ni upumbavu wa kiwango cha mende

Kwa uwezo wako wewe wa Akili unadhani kama Polepole hakujua kosa lake !!!

kwann alikuwa anajificha uku anaongea yale alikuwa anaongelea!!! ????

Kwanini asiongee tu hadharani 👈

yani hangeitisha mkutano wa waandishi habari akaongea!

Na hakaruusu kuulizwa maswali kwa kile kaongea
zambi ingekuwa wapi apo???

Mwenye lengo la kupotosha Jamii utamjuqje ni vitendo vyake!!

Polepole kaongea mengi ya ujinga kuhusu CCM kiasi huwezi kuamini kuwa Eti Polepole alikuwa Katibu itikadi Uwenezi CCM!!

mfano Polepole alitaka jamii Ielewe Rais wasasa kapendelewa na CCM kwa kupitishwa bila kupigwa!

Ukweli ni upotoshaji wawazi kabisa❌️

Wkt ukweli mfumo wa CCM Rais Samia Suluhu Hassan kwakuwa hii ilikuwa ni awamu yake ya pili ivyo CCM wamekuwa na mazoea ya kutokukuekea mgombea mwengine✅️

lkl Polepole kwania mbaya yenye lengo la kupotosha Jamii

Polepole anadai Rais Samia Suluhu Hassan hii 2025 ndio awamu yake ya kwanza ❌️

lengo lake kuchanganya mpaka wana CCM wachache wasiojielewa baadhi
wakafikia kuoji kwann CCM imempitisha pekeyake¿¿¿¿ 😇😇

mn ni kweli ingekuwa ndio awamu ya kwanza talatibu lazima kuwe na wagombea wengi✅️

Watu wakamwamini zaidi Polepole kuliko ukweli wa kuwa Rais Samia Suluhu Hassan hakupendelewa na CCM ✅️

bali ni awamu yake ya pili kuelekea 2025-2030.

Polepole katumia njia ya kuongea kwa kujifisha Sababu kajua nini anataka kufanya kwenye Jamii!!

Hangekuja hadharani
wapo wenye kujua ukweli wangemuoji mifumo ya CCM inavyofanyakazi angeaibika mchana kweupe!!

Ndio akaona uwongo wake akaongee porini

Unaenda kujificha sehemu kisha unajirecord chumbani kwako
unaropoka ropoka kisha unatuletea

Mbona Askofu Gwajima mwisho akaelewa kosa lake!!!

ukitaka kuongea Siasa ongea kwenye mkutano wa maalumu ruhusu kupigwa maswali !!!

Sio unaenda kuongelea Kanisani au chumbani kwako. 💩💩

Lengo lako nini kwenye Jamii ¿¿
 
HAKI zengine za Watanzania ni kulindwa na wapotoshaji kwenye Jamii

Polepole alitakiwa kutafuta Dawa ya changamoto zake baada ya kukabidhi ile V8 kwa mwengine👈

lkn sio kuja kujifungia Chumbani na kupotosha Jamii yetu❌️

Yumkin Polepole kuchangia yale matukio ya Mo29
 
🤣😂🤣 Yaani nyie wavulana msiojua mambo mna vituko sana. Kwahiyo Polepole alikuwa mtu wa kawaida na mshamba kabla ya JPM?
Ndio maana wazenji wanawatia madole ya macho watanganyka
Alikua mshamba kajaa dhiki,akibwekabweka channel ten na ubishi wa kijinga
 
Polepole pengine ujana wake kuna mambo kuyapitia yamemletea Shida ukubwani!


1
hakuwai kuwa na mke wala Mtoto
Lkn alipenda sana Totoz 👈

2.
Alipenda kujimwambafai sana kuenda mikoa ya kwao kujionesha ukubwa wake mpya!

Yawezekana hakuwai kujiandaa kushuka chini baada ya kuwa juu kwamaana ndoto zake zilikuwa za kupanda tu zaidi sio kuporomoka chini!!

Ktk ili la kuporomoka inawezekana ndio tatizo kubwa kwake limefanya ajione kama sio yeye tena

Alitakiwa tu kutafuta Tiba halaka ya kisaikorojia zipo dawa unapewa za kumeza unatulia vizuri na Maisha yanaendelea.

Kisa cha Polepole Familia yake wamekosa kuwa msaada kwake wenye njia.

Tatizo la Polepole linawapata watu wengi sio lazima uwe mwanasiasa

wengine kushushwa tu cheo kazini kwake msongo wa mawazo uchukua Nafasi!

Kuna ndugu yangu alikuwa Ulaya miaka 14
kuna janga kasababisha uko Wazungu wakamrudisha Tz na passport yake wakaifanya hawezi tena kuingia Ulaya

Alisumbua sana kutafutiwa walimu wa Dini kumuombea !!

siku nikamfata nikamuuliza unajisikia vipi

akanambia najiona kama nipo chooni sasa nataka kutoka lkn siwezi!!😇😇

Uko Ulaya kaacha mambo yake mengi sana tena gafra upo Tanzania
Nikaenda naye Muhimbili kuonana na Wajuzi kapewa Dawa sasa mwaka w3 kashasau Ulaya Maisha yanaendelea vizuri tu Tz.

Tatizo kama la Polepole kwangu mm sio la kuombewa❌️
ni la Muhimbili Pengine hasingefika pale alipo leo i9✅️

Watanzania tumejenga zana kuwa Muhimbili kuna hodi ya Vichaaa ivyo wanaotakiwa kwenda ni vichaa tu !!

kumbe sio ukiona ndugu yako yupo na msongo mkubwa wa mawazo kashuswa kutoka juu Ubunge Ulaya Cheo kukimbiwa na Kipenz chake

Halaka mpeleke Muhimbili zipo Dozi aina nyingi sana !!!

kumwacha vile jinsi alivo nitatizo kuna kujiua kuna kuvua nguo kabisa barabarani kuna kuropoka ropoka kama Polepole.

Sio Binadamu wote wenye kuweza kupitia misuguano mikubwa kwenye akili zao wakaweza
kutoboa👈

ivyo wengine tunapaswa kuwasaidia kwenye icho kipindi mpaka wakae sawa✍️
We jamaa una machekesho bila kujijua.
Polepole hakukumbwa na demotion, alijiuzulu mwenyewe ubalozi, ukitokea Havana Cuba.
Pili hizo dawa unazoziongelea huwa wanapewa watu wenye sonoma.
tena sio sonoma ili mradi sonoma, ni Sonoma ikiwa Severe.
 
Kwa uwezo wako wewe wa Akili unadhani kama Polepole hakujua kosa lake !!!

kwann alikuwa anajificha uku anaongea yale alikuwa anaongelea!!! ????

Kwanini asiongee tu hadharani 👈

yani hangeitisha mkutano wa waandishi habari akaongea!

Na hakaruusu kuulizwa maswali kwa kile kaongea
zambi ingekuwa wapi apo???

Mwenye lengo la kuposha Jamii utamjuqje ni vitendo vyake!!

Polepole kaongea mengi ya ujinga kuhusu CCM kiasi huwezi kuamini kuwa Eti Polepole alikuwa Katibu itikadi Uwenezi CCM!!

mfano Polepole alitaka jamii Ielewe Rais wasasa kapendelewa na CCM kwa kupitishwa bila kupigwa!

Ukweli ni upotoshaji wawazi kabisa❌️

Wkt ukweli mfumo wa CCM Rais Samia Suluhu Hassan kwakuwa hii ilikuwa ni awamu yake ya pili ivyo CCM wamekuwa na mazoea ya kutokukuekea mgombea mwengine✅️

lkl Polepole kwania mbaya yenye lengo la kupotosha Jamii

Polepole anadai Rais Samia Suluhu Hassan hii 2025 ndio awamu yake ya kwanza ❌️

lengo lake kuchanganya mpaka wana CCM wachache wasiojielewa baadhi
wakafikia kuoji kwann CCM imempitisha pekeyake¿¿¿¿ 😇😇

mn ni kweli ingekuwa ndio awamu ya kwanza talatibu lazima kuwe na wagombea wengi✅️

Watu wakamwamini zaidi Polepole kuliko ukweli wa kuwa Rais Samia Suluhu Hassan hakupendelewa na CCM ✅️

bali ni awamu yake ya pili kuelekea 2025-2030.

Polepole katumia njia ya kuongea kwa kujifisha Sababu kajua nini anataka kufanya kwenye Jamii!!

Hangekuja hadharani
wapo wenye kujua ukweli wangemuoji mifumo ya CCM inavyofanyakazi angeaibika mchana kweupe!!

Ndio akaona uwongo wake akaongee porini

Unaenda kujificha sehemu kisha unajirecord chumbani kwako
unaropoka ropoka kisha unatuletea

Mbona Askofu Gwajima mwisho akaelewa kosa lake!!!

ukitaka kuongea Siasa ongea kwenye mkutano wa maalumu ruhusu kupigwa maswali !!!

Sio unaenda kuongelea Kanisani au chumbani kwako. 💩💩

Lengo lako nini kwenye Jamii ¿¿
Ndio mumuue?
 
Kwamba ndugu Polepole alikuwa hajui kama kujirecord vidio kama zile na upo ndani ya nchi ingemletea shida?

Kwamba alikuwa na uelewa mdogo kuhusu teknolojia?

Inakuwaje unajipiga picha au recording na kusema hapa ni wapi kwa jinsi teknolojia ilivyokuwa

Au kipindi anafanya hayo alilewa🙄

Pia soma Kupotea kwa Humphrey Polepole kumefanya hata walio CCM wajione wao sio lolote wala chochote. Ni onyo ma kitisho
Wewe ujasikia kuwa ni mzee butiku alimchoma baada ya kuwasiliana nae we nawe
 
Kwa uwezo wako wewe wa Akili unadhani kama Polepole hakujua kosa lake !!!

kwann alikuwa anajificha uku anaongea yale alikuwa anaongelea!!! ????

Kwanini asiongee tu hadharani 👈

yani hangeitisha mkutano wa waandishi habari akaongea!

Na hakaruusu kuulizwa maswali kwa kile kaongea
zambi ingekuwa wapi apo???

Mwenye lengo la kuposha Jamii utamjuqje ni vitendo vyake!!

Polepole kaongea mengi ya ujinga kuhusu CCM kiasi huwezi kuamini kuwa Eti Polepole alikuwa Katibu itikadi Uwenezi CCM!!

mfano Polepole alitaka jamii Ielewe Rais wasasa kapendelewa na CCM kwa kupitishwa bila kupigwa!

Ukweli ni upotoshaji wawazi kabisa❌️

Wkt ukweli mfumo wa CCM Rais Samia Suluhu Hassan kwakuwa hii ilikuwa ni awamu yake ya pili ivyo CCM wamekuwa na mazoea ya kutokukuekea mgombea mwengine✅️

lkl Polepole kwania mbaya yenye lengo la kupotosha Jamii

Polepole anadai Rais Samia Suluhu Hassan hii 2025 ndio awamu yake ya kwanza ❌️

lengo lake kuchanganya mpaka wana CCM wachache wasiojielewa baadhi
wakafikia kuoji kwann CCM imempitisha pekeyake¿¿¿¿ 😇😇

mn ni kweli ingekuwa ndio awamu ya kwanza talatibu lazima kuwe na wagombea wengi✅️

Watu wakamwamini zaidi Polepole kuliko ukweli wa kuwa Rais Samia Suluhu Hassan hakupendelewa na CCM ✅️

bali ni awamu yake ya pili kuelekea 2025-2030.

Polepole katumia njia ya kuongea kwa kujifisha Sababu kajua nini anataka kufanya kwenye Jamii!!

Hangekuja hadharani
wapo wenye kujua ukweli wangemuoji mifumo ya CCM inavyofanyakazi angeaibika mchana kweupe!!

Ndio akaona uwongo wake akaongee porini

Unaenda kujificha sehemu kisha unajirecord chumbani kwako
unaropoka ropoka kisha unatuletea

Mbona Askofu Gwajima mwisho akaelewa kosa lake!!!

ukitaka kuongea Siasa ongea kwenye mkutano wa maalumu ruhusu kupigwa maswali !!!

Sio unaenda kuongelea Kanisani au chumbani kwako. 💩💩

Lengo lako nini kwenye Jamii ¿¿
Kwahiyo kosa la Polepole mpaka akatekwa ni lipi?... kwanini asipelekwe mahakamani kama kafanya kosa ?
 
Polepole huko aliko hajuti! Yule hajaibuka tu from no where! Yule katengenezwa na anachoamini ni yamini. Sisi huku ndio tunapata shida na kufikiri yupo kinyonge. Polepole ndio wale vijana jeuri aliosema Mwl Nyerere.
 
We jamaa una machekesho bila kujijua.
Polepole hakukumbwa na demotion, alijiuzulu mwenyewe ubalozi, ukitokea Havana Cuba.
Pili hizo dawa unazoziongelea huwa wanapewa watu wenye sonoma.
tena sio sonoma ili mradi sonoma, ni Sonoma ikiwa Severe.
kumbukumbu zako zivute zaidi Polepole alikuwa Mbunge kabla ya Rais Samia Suluhu Hassan kumpeleka kuwa Balozi Malawi 👈

unamvua Ubunge na kumvisha Ubalozi tena Malawi!!
Sijui kama unaelewa tofauti yake!!!

Wkt sio muda mrefu rip JPM nayeye alimvua Uwenezi CCM ikabidi Polepole kukabidhi lile V8 🤠🤠
Lkn JPM akamteuwa kuwa Mbunge wa Jamhuri ..

Rais Samia Suluhu Hassan akaja kupita na Ubunge wake ! na kumpeleka kuwa Balozi kwako kashushwa kapandishwa?????

Kuna V8 tena apo 😂😂😂😂😂😂
 
Polepole alitakiwa kutibiwa msongo wa mawazo
mawazo uzaa tatizo kubwa zaidi.

Wataalamu wa Afya ktk orodha ya vitu hatari kwenye Afya yetu
mawazo wameyasisitiza sn ndio mbaya zaidi. Kiafya

Madaktari wanatwambia ivi
Hatari zaidi kwa Afya zetu tujichunge
1 ) mawazo
2 ) sigara
3 ) pombe
Nk.
 
Alikufa kizembe bwana acheni kutetea ubwege. Mbona Bashiru Ally baada ya kutolewa Ikulu alitulia kimya, na huyo anakula matunda ya nchi!! Utaamua mwenyewe ufurahishe jukwaa au ufurahishe familia yako. Sasa hivi Polepole hayupo ila wanaoteseka ni mama yake na ndugu zake. Kisa ubwege wa Polepole
Unaongea kwa kutumia hisia. Kwamba Punda afe ilimradi mzigo ufike sio? Huyo bashiru mwenyewe walewale tu alikaa kimya kwa sababu hakuwa na option alirizika kulipwa vimiambili wakati huko nyuma alijichotea atakavyo. Polepole mimi sikuwahi kumwelewa maana ya ujifichaji ule ukishatibuana na mfumo you have no other option rather than to be very wise and smart alishindwa hata kumiliki bereta😂😂 mbwembwe zote akauzwa mchana kweupe kama yuda alivyomuuza yesu kwa vipande vya fedha.Alizingua sana
 
Kwahiyo kosa la Polepole mpaka akatekwa ni lipi?... kwanini asipelekwe mahakamani kama kafanya kosa ?

Maelezo yangu yamejikita kutoa Mwanga kudadavua Mwezetu Polepole alikosea wp!!

lengo kuwapa Wanasiasa mitazamo yenye kuwasaidia kupunguza mikwalizano hisio na tija

ongea hadharani ruhusu kuulizwa maswali 👈
ndio mifumo ya Siasa pendekezwa ipo ivyo. Popote Duniani ✅️

Sasa unamuongelea mwanasiasa ambae kajijenga kwa Wananchi ili kutafuta kura ❗️

wewe unam'bandika mikashfa kibao‼️

hakienda Mahakamani kujisafisha
hatamshtaki nani ❗️❗️❗️

Mfano Rip Bernard Membe baada kuona kashfa nyingi kwa MuSiba❗️ hakachukua hatua kwenda Mahakamani kujisafisha👈

Mimi naamini Pole pole ni mzima wa Afya!

Japo hatuelewi malengo yao wanaomshikilia !!

Lkn ipo wazi Polepole kafanya yale kama hasira baada kuondoshewa V8 mlangoni kwake!!

muhimu Polepole hajamtukana mtu kwenye maelezo yake👈

Tuendelee tu kumuombea ipo siku ataungana upya na Familia yake👈.
 
kumbukumbu zako zivute zaidi Polepole alikuwa Mbunge kabla ya Rais Samia Suluhu Hassan kumpeleka kuwa Balozi Malawi 👈

unamvua Ubunge na kumvisha Ubalozi tena Malawi!!
Sijui kama unaelewa tofauti yake!!!

Wkt sio muda mrefu rip JPM nayeye alimvua Uwenezi CCM ikabidi Polepole kukabidhi lile V8 🤠🤠
Lkn JPM akamteuwa kuwa Mbunge wa Jamhuri ..

Rais Samia Suluhu Hassan akaja kupita na Ubunge wake ! na kumpeleka kuwa Balozi kwako kashushwa kapandishwa?????

Kuna V8 tena apo 😂😂😂😂😂😂
Mkuu pole pole alipo teuliwa na Rais Magu kuwa Mbunge,alikuwa bado hajaondolewa cheo cha usemaji wa chama...yaani alikuwa ana vyeo vyote viwili.

Rais Samia alipo ingia madarakani ndipo sasa akakabidhi kile cheo cha Usemaji kwa Shaka hamdu shaka na akabaki na ubunge peke yake.

Baada ya muda ndipo akateuliwa na Raisi Samia kuwa balozi,hapo ndo akaachia ubunge.
 
Back
Top Bottom