Napata utata kuhusu video za Humphrey Polepole

Napata utata kuhusu video za Humphrey Polepole

Vile watu wanakwambia usijali tutakulinda, tuna watu kwenye mfumo tayari tulishawaandaa hakuna kitakachokutokea, vile na wewe Una huo utayari basi unajitosa...

Kama uko tayari kufa hakuna shida lakini siyo kutegemea Nyumbu za TZ ndio zikutetee, wengi tunaopiga kelele mitandaoni ni Keyboard warriors, Binafsi mtu aliyeshiriki kuandaa killing machine Kwa maslahi binafsi iliyoumiza watz wengi na madhara Yake tunayaona Hadi sasa huwa Sina huruma nae, ubinadamu huo Mimi Sina kabisa, mtu kama Lissu naweza kuwa na huruma naye kwasababu ameonesha anasimamia wapi hata kama tunapishana baadhi ya mawazo...
 
Kilichotokea kwa polepole ni sawa na lowasa.
Polepole aliambiwa tangulia tunakuja, anza kwa kuandika barua ya kujiuzulu, wewe ndiyo utaongoza mapambano. Jamaa kavuka mto akajikuta yupo peke yake.
Lowasa aliambiwa tangulia chadema tunakuja akajikuta yupo na mgeja, mgana msindai na guninita
Wenzake wale walomwambia tangulia ndo wakawa wanamcheka
Aliyemchoma H. P ni Mzee butiku. Huyu ni miiongoni mwa walomwambia jamaa atangulie
Basi huelewi harakati, propaganda na mikakati ya siasa za Tanzania...
Kwamba Polepole na Lowasa walidanganywa..?!?! Rudi nyuma miaka 15 utaelewa alichokifanya Lowasa na Polepole
 
Kuna wakati nape alianza kuleta za kuleta akaambiwa akae kimya, akaambiwa alishalipwa kwa kazi hizo aache kutoa povu. Maana yake ni kwamba kule hata uwe mkubwa vipi ukitoa siri za huko wanakumaliza, usalama ni kukaa kimya uishi kama ulivyoapa kuwa hutatoa siri
Mwisho wa siku, " Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke, siku zake si nyingi na hakuna atakayeishi milele". Ndio maana, wapo wanaokufa wakati wa kuzaliwa, wakiwa newborns, underfives, vijana na wengine hufa uzeeni. Na kwa aliyekufa, kifo ni kifo. Kuna watu waliua wenzao, wakiwa njiani kurudi makwao nao wakauawa. Kwa sababu hiyo, ni mjinga tuu atakayebeza mauti ya mtu.
 
Kwamba ndugu Polepole alikuwa hajui kama kujirecord vidio kama zile na upo ndani ya nchi ingemletea shida?

Kwamba alikuwa na uelewa mdogo kuhusu teknolojia?

Inakuwaje unajipiga picha au recording na kusema hapa ni wapi kwa jinsi teknolojia ilivyokuwa

Au kipindi anafanya hayo alilewa🙄

Pia soma Kupotea kwa Humphrey Polepole kumefanya hata walio CCM wajione wao sio lolote wala chochote. Ni onyo ma kitisho
Polepole alikuwa mjinga fulani tu wa low IQ ila bahati mbaya Magufuli alim overrate na kumpa nafasi ya Usemaji wa CCM.

Sijawahi kumkubali yule bwege na nilifurahi alipopotezwa. Yeye kama mshirika mkubwa wa Magufuli alihusika na kuanzisha michezo michafu ya kupoteza watu, kukandamiza demokrasia na kununua wabunge wa upinzani (Sillinde, Waitara etc). Halafu baada ya kuondolewa u Katibu Mwenezi wa CCM akachukia na kuanzisha kampeni ya kumponda Mwenyekiti wa CCM kupitia Shule ya siasa na kisha kuandika kitabu cha kumsifia Magufuli wakati akiwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi.

Ukiwa sehemu ya mfumo kufa na siri za mfumo, ukizitoa tu lazima upotezwe. No sympathies kwa bwege huyo
 
Mwisho wa siku, " Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke, siku zake si nyingi na hakuna atakayeishi milele". Ndio maana, wapo wanaokufa wakati wa kuzaliwa, wakiwa newborns, underfives, vijana na wengine hufa uzeeni. Na kwa aliyekufa, kifo ni kifo. Kuna watu waliua wenzao, wakiwa njiani kurudi makwao nao wakauawa. Kwa sababu hiyo, ni mjinga tuu atakayebeza mauti ya mtu.
Alikufa kizembe bwana acheni kutetea ubwege. Mbona Bashiru Ally baada ya kutolewa Ikulu alitulia kimya, na huyo anakula matunda ya nchi!! Utaamua mwenyewe ufurahishe jukwaa au ufurahishe familia yako. Sasa hivi Polepole hayupo ila wanaoteseka ni mama yake na ndugu zake. Kisa ubwege wa Polepole
 
Kuna muda na msapot Polepole lazima tujenge ile nchi ya kukosoana tukiwa ndani ili hawa watawala manyani wasianze mambo ya

Ila namlaumu kwa kutokwenda angalau kuishi penye ulinzi mkali ndani ya nchi!

Angekuwa na Mabaunsa kama 30 hivi

Hao ni ma dayaspora tuuu


Britanicca
 
Kwamba ndugu Polepole alikuwa hajui kama kujirecord vidio kama zile na upo ndani ya nchi ingemletea shida?

Kwamba alikuwa na uelewa mdogo kuhusu teknolojia?

Inakuwaje unajipiga picha au recording na kusema hapa ni wapi kwa jinsi teknolojia ilivyokuwa

Au kipindi anafanya hayo alilewa🙄

Pia soma Kupotea kwa Humphrey Polepole kumefanya hata walio CCM wajione wao sio lolote wala chochote. Ni onyo ma kitisho
Kwa binadamu wote kiasili,
kuna aina fulani ya kiburi, ujeuri na ubishi, ambayo huashiria mwisho wa maisha hauko mbali 🐒
 
Kosa sio la pole pole.
Hakuna Sheria yoyote inayosema mtu akikosoa serikali auliwe.
Kwani hujui kila jambo lina sheria na kanuni ukivuka mipaka unaliwa kichwa

Wewe mamba unaenda kutoa taarifa za uzaifu wa wenzako ili kwa adui zenu alafu unataka wenzio wakuache

Ili maadui waue kizazi chenu si bora uuliwe wewe mmoja


amesimulia tayari wew muhanga umechukua uamuzi gani?
 
Kwani hujui kila jambo lina sheria na kanuni ukivuka mipaka unaliwa kichwa

Wewe mamba unaenda kutoa taarifa za uzaifu wa wenzako ili kwa adui zenu alafu unataka wenzio wakuache

Ili maadui waue kizazi chenu si bora uuliwe wewe mmoja


amesimulia tayari wew muhanga umechukua uamuzi gani?
Mipaka gani aliyovuka pole pole.ambayo imewapa kibali kumuua?
 
Back
Top Bottom