Napata mawazo ya kujiua. Nifanyaje yaishe?

Napata mawazo ya kujiua. Nifanyaje yaishe?

Valhalla

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
478
Reaction score
621
Habari wapendwa.

Ni kama mwaka sasa nimekuwa napatwa na mawazo ya kujiua.

Hayaji kila siku na mara nyingi nafurahia maisha kama kawaida tu. Kiuchumi siko vibaya, sina deni wala vikoba ila kuna siku naweza kuamka zangu na furaha then from nowhere kuna vitu tu nikivifikiria nakua so depressed, najiona kama takataka. Najiona sina thamani, najiona a looser who is missjudged and can't do anything about it.

Kwa wanaonijua ukiwaambia nina mawazo haya watakucheka sbb nina tuvibaraka ambavyo wengi wanaota kuwa navyo ila ukweli ni kwamba kuna saa naona wanaosukuma mkokoteni au wanaouza vitumbua wana maisha mazuri kuliko mimi.

Sitaki kufa na sitakufa kwa kujiua ila najua watu wengi wanaopata mawazo ya kujiua huwa wanaishia kujiua kweli hivyo nipe neno lolote ili haya mawazo ya kijinga yaachane na mimi.

Wale wanaotoa ushauri kwa maneno makali hadi ujione mjinga ndo wazuri.Mimi nikibembelezwa ndo nazidi kuwa emotional hata kama ni mbele za watu ntaanza kulia.

Muwe na weekend njema sana wapendwa.

ASANTE
 
Habari wapendwa.

Ni kama mwaka sasa nimekua napatwa na mawazo ya kujiua.

Hayaji kila siku na mara nyingi nafurahia maisha kama kawaida tu. Kiuchumi siko vibaya, sina deni wala vikoba ila kuna siku naweza kuamka zangu na furaha then from nowhere kuna vitu tu nikivifikiria nakua so depressed,najiona kama takataka.Najiona sina thamani,najiona a looser who is missjudged and can't do anything about it.

Kwa wanaonijua ukiwaambia nina mawazo haya watakucheka sbb nina tuvibaraka ambavyo wengi wanaota kuwa navyo ila ukweli ni kwamba kuna saa naona wanaosukuma mkokoteni au wanaouza vitumbua wana maisha mazuri kuliko mimi.

Sitaki kufa na sitakufa kwa kujiua ila najua watu wengi wanaopata mawazo ya kujiua huwa wanaishia kujiua kweli hivyo nipe neno lolote ili haya mawazo ya kijinga yaachane na mimi.

Wale wanaotoa ushauri kwa maneno makali hadi ujione mjinga ndo wazuri.Mimi nikibembelezwa ndo nazidi kuwa emotional hata kama ni mbele za watu ntaanza kulia.

Muwe na weekend njema sana wapendwa.

ASANTE

Pata msaada humo otherwise utakuja kujiua kweli maana kujiua ni mchakato
 
Habari wapendwa.

Ni kama mwaka sasa nimekua napatwa na mawazo ya kujiua.

Hayaji kila siku na mara nyingi nafurahia maisha kama kawaida tu. Kiuchumi siko vibaya, sina deni wala vikoba ila kuna siku naweza kuamka zangu na furaha then from nowhere kuna vitu tu nikivifikiria nakua so depressed,najiona kama takataka.Najiona sina thamani,najiona a looser who is missjudged and can't do anything about it.

Kwa wanaonijua ukiwaambia nina mawazo haya watakucheka sbb nina tuvibaraka ambavyo wengi wanaota kuwa navyo ila ukweli ni kwamba kuna saa naona wanaosukuma mkokoteni au wanaouza vitumbua wana maisha mazuri kuliko mimi.

Sitaki kufa na sitakufa kwa kujiua ila najua watu wengi wanaopata mawazo ya kujiua huwa wanaishia kujiua kweli hivyo nipe neno lolote ili haya mawazo ya kijinga yaachane na mimi.

Wale wanaotoa ushauri kwa maneno makali hadi ujione mjinga ndo wazuri.Mimi nikibembelezwa ndo nazidi kuwa emotional hata kama ni mbele za watu ntaanza kulia.

Muwe na weekend njema sana wapendwa.

ASANTE
Kwa watu wasio a dini tunasema umeandamwa na roho ya maiti inayoitaji kuvunjwa Kwa maombi ,ni hukumu lako kumueleza kiongoz wa dini Yako au mtu unaye mwamin akuombee na kuvunja roho ya mauti ndan Yako , otherwise Kuna sku utajiua kwel ,na baada ya kujiua sekunde moja ni kubwa utakua unajuta uendako
 
Una upweke...
Na una kitu hutaki kusema maana unahisi ni aibu
Pia huna purpose yoyote in Life....
Halafu Rizki zako zimevuta maadui zako na ndio wanakushawishi ujiue hutanielewa leo ila amini nimepita hapo...
Tafuta shekhe narudia tena shehe kama huna nicheki nitakusaidia shekhe akuombee dua...narudia shekhe (mm ni mkristu saafi kabisa)
Halafu utakuja unishkuru...ukiwa ok
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom