Iyola99
Member
- May 16, 2022
- 63
- 321
Wapendwa please,
Naombeni msaada namna gani naweza kupona msongo mkali wa mawazo (depression) linanitesa mno.
Sina uwezo wa kuonana na wanasaikolojia Ila kadri siku zinavyozidi kwenda naona linazidi kukua na sasa Mara kwa mara.
Napatwa na maumivu ya kichwa, kizunguzungu, sometime napoteza hamu ya kula nk.
Nisaidieni nina mtoto wa miaka 3 nampenda sana.
Naogopa kumuacha mpweke kama nitakufa.
Naombeni msaada namna gani naweza kupona msongo mkali wa mawazo (depression) linanitesa mno.
Sina uwezo wa kuonana na wanasaikolojia Ila kadri siku zinavyozidi kwenda naona linazidi kukua na sasa Mara kwa mara.
Napatwa na maumivu ya kichwa, kizunguzungu, sometime napoteza hamu ya kula nk.
Nisaidieni nina mtoto wa miaka 3 nampenda sana.
Naogopa kumuacha mpweke kama nitakufa.