ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,773
- 35,993
Najuta mno kufatilia hizi siasa za Tanzania, Bora hata kipindi kile nikiwa nafatilia Yanga na Simba,
Ndo hivo tena Sasa siwezi kuacha kufatilia siasa
Yaani nakosa Raha mno na roho inauma mno
Tuachane na hizo Habari za kuhizunisha za kuuwa Watanganyika zaidi ya 10,000 ndani ya ardhi Yao na wengi wakiwa majumbani
Watanganyika masikini hawana wa kuwatetea wameuliwa kionevu na watu waliotakiwa kuwalinda
Hakuna hata muuaji 1 aliyekamatwa, kushitakiwa na kuwajibishwa
Haya Leo limeibuka la kuuzwa Kwa KIA airport Kwa Oman
Hivi kweli Watanganyika milion 60 tunashindwa kusimamia na kuendesha airport yetu hadi waje wageni
Hapo KIA airport tanzanite ya Mererani na mazao ya Wanyama na wanyama pori wanaenda kupanda ndege kupelekwa Uarabuni
Yaani Kia imilikiwe na Oman jamani 😭
Brela mnasajili Transom Tanzania Limited ili kukwapua Rasimali za Watanganyika?
JWTZ na TISS wajibika kulinda Rasimali zetu
Mnakula mshahara wa Nini?
Ndo hivo tena Sasa siwezi kuacha kufatilia siasa
Yaani nakosa Raha mno na roho inauma mno
Tuachane na hizo Habari za kuhizunisha za kuuwa Watanganyika zaidi ya 10,000 ndani ya ardhi Yao na wengi wakiwa majumbani
Watanganyika masikini hawana wa kuwatetea wameuliwa kionevu na watu waliotakiwa kuwalinda
Hakuna hata muuaji 1 aliyekamatwa, kushitakiwa na kuwajibishwa
Haya Leo limeibuka la kuuzwa Kwa KIA airport Kwa Oman
Hivi kweli Watanganyika milion 60 tunashindwa kusimamia na kuendesha airport yetu hadi waje wageni
Hapo KIA airport tanzanite ya Mererani na mazao ya Wanyama na wanyama pori wanaenda kupanda ndege kupelekwa Uarabuni
Yaani Kia imilikiwe na Oman jamani 😭
Brela mnasajili Transom Tanzania Limited ili kukwapua Rasimali za Watanganyika?
JWTZ na TISS wajibika kulinda Rasimali zetu
Mnakula mshahara wa Nini?