Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 2,995
Wakuu naomba ushauri wenu Mimi ni mtoto wa pili Kati ya familia ya watoto watano Nina miaka 29 miaka mitatu nyuma nilipata msiba wa mdog angu tuliyefuatana ambaye mpaka kifo chake kinatokea alikuwa Yuko kidato Cha nne kifo chake kilitokea ghalfa tu
Shida yangu Kila siku naota ndoto Niko pamoja nae kweny mazingira mapya tukiongea au tunaenda sehemu Fulani au tupo mazingira Fulani nakosa amani kabisa
Note siku anaaga dunia akiwa mikononi mwangu aliniambia Kaka naenda Ila nitakuwa nawe siku zote😭😣
Shida yangu Kila siku naota ndoto Niko pamoja nae kweny mazingira mapya tukiongea au tunaenda sehemu Fulani au tupo mazingira Fulani nakosa amani kabisa
Note siku anaaga dunia akiwa mikononi mwangu aliniambia Kaka naenda Ila nitakuwa nawe siku zote😭😣