maramia
JF-Expert Member
- Jul 17, 2015
- 2,030
- 1,344
Halafu aliyewahi kuwa mhaini katika utawala wa awamu ya kwanza, kumbu kumbu yangu inamwangukia Hans Pope, sijui kama niko sahihi.Tudokezeeni kidogo, ni nani huyo shombe
Halafu aliyewahi kuwa mhaini katika utawala wa awamu ya kwanza, kumbu kumbu yangu inamwangukia Hans Pope, sijui kama niko sahihi.Tudokezeeni kidogo, ni nani huyo shombe
"where we dare to talk openly" hebu ondoa mafumbo watu wajadili maada yako bwana.Kuna timu ya soka ina kifupisho cha herufi SSC ifuatilie na utamjua.
Bwana mkubwa wa simba sports club, usajili wa mchezaji haufanyiki bila ya mkubwa huyu kuhusishwa."where we dare to talk openly" hebu ondoa mafumbo watu wajadili maada yako bwana.
Hao wajahidina umewamiss sana na utawaona hapaAcheni kuandika kiumbembea, huyu mtu anaitwaa hance pope. Dini inatufundisha kusamehe saba mara sabini. Magufuli sii mjahaidina, magufuli ni mkristo safi.
Mawazo yenu nyinyi wachonganishi, hayapo kwa magufuli.
Aaaah kaka nishakuwa kisebengo tena, waungwana wameshamtaja humu humu, cheki vizuri jina lake utaliona.Huyu mwenye uzi ni kisebengo tuu, anaandika kama yupo kwenye verse za taarabu
Nadhani Kwa sasa badala ya kupumulia pua anapumulia masikio!!! Kibri si maungwana
Anapiga kazi lakini inategemea unaingiaje kwenye anga zake, inategemea wakati anakutana na hizo dharau nani na nani walikuwa kando yake, sometimes kuna kitu kinaitwa humiliation.Ooooh kumbe Magu kasi yote hii ni harakati za ulipizaji kisasi?
Eeeh bwana eeeh...duhKuna siku nikiwa Lusaka kipindi cha kampeni mkurugenzi wa jiji la Lusaka alimyima sata kibali cha kufanya kampeni, sata akatinga hadi jiji akamwabia yule mkurugenzi kuwa hawaambie waliomtuma kuwa siku akiwa rais atakomesha tabia ya watumishi kuwa sehemu ya vyama tawala, alichoambulia sata ni tusi toka kwa yule mkurugenzi kuwa, wewe mbwa asiye na Elimu nani akupe urais wa nchi, kama siyo walinzi wa sata ngumi zingelika, bahati mbaya kwa mkurugenzi sata akashinda urais.
Mkuu, kuna tofauti kati ya 70X7 na 7X70Tusichanganye mambo dini haisemi wanaovunja sheria wasamehewe sabini mara saba.
Kaka usijifanye unaipenda sana nchi hii kuliko kila mtu hapa jamii forum. Ukifuatilia maandishi utaona mahali nimeandika "nyeti zinahabarisha". Na hii ni forum, kila mtu ambaye anajihesabu kama great thinker anao uwezo wa kuchambua kila kinachoandikwa. Hii sio klabu ya wanzuki na wote waliochangia sio walevi wa wanzuki.Mkirudi mmelewa viroba msilazimishe kuanzisha thread za kijinga na zenye negative impact kwa rais wetu. Ulivyoandika watu wengi watakuwa na mawazo kuwa rais Magufuli anajindaa kulipa kisasi. Na jambo lolote baya au litakalomkuta huyo ''mwenye malori'' uliyesema itaonekana kama ni mheshimiwa rais ametumia wadhifa wake kulipa kisasi. Au hata akifanya uhalifu wowote na akakamatwa kwa mujibu wa sheria na vyombo vya dola, wengi wataona kuwa ni rais wetu amejibu mapigo (kwa mujibu wa thread yako). Tunaomba sana moderators wawe wakali kwa thread za kijinga na kichochezi kama hizi. Narudia kusema tena fikirini kwa mapana kabla hamjaanzisha thread kwani hapa sio klabu ya wanzuki!
Hapana hapana hapana. Umekosea kabisa. Hata kama umeambiwa kutoka kwa malaika lakini kuna namna ungeweza ku-present thread yako na ikaeleweka. Wewe umeumba picha ya kuwa rais Magufuli yupo tayari kujibu mapigo kwa sababu aliambiwa msemo ambao haukumpendeza tena siku za nyuma! Hapa ni kama unamweka rais kwenye kundi la walipa kisasi. Ungeweza tu kusema jamaa ana kosa A na una fununu kuwa atatumbuliwa siku za karibuni. Na labda ungeweza kukumbushia mwishoni kuwa ''mnakumbuka huyu ndiye aliyekuwa na jeuri ya kusema blah blah blah siku za nyumba!Kaka usijifanye unaipenda sana nchi hii kuliko kila mtu hapa jamii forum. Ukifuatilia maandishi utaona mahali nimeandika "nyeti zinahabarisha". Na hii ni forum, kila mtu ambaye anajihesabu kama great thinker anao uwezo wa kuchambua kila kinachoandikwa. Hii sio klabu ya wanzuki na wote waliochangia sio walevi wa wanzuki.
Ndugu yangu jifunze kusoma maandiko na kuyapima kama mtu mwenye upeo mkubwa wa kuelewa mambo. Mimi nimeandika kwa mujibu wa nyepesi nyepesi nilizosikia, ina maana nisiandike kitu eti kwa sababu ya impact ya baadae?.
Nimekusoma mzee na nitafanyia kazi ushauri, pamoja.Hapana hapana hapana. Umekosea kabisa. Hata kama umeambiwa kutoka kwa malaika lakini kuna namna ungeweza ku-present thread yako na ikaeleweka. Wewe umeumba picha ya kuwa rais Magufuli yupo tayari kujibu mapigo kwa sababu aliambiwa msemo ambao haukumpendeza tena siku za nyuma! Hapa ni kama unamweka rais kwenye kundi la walipa kisasi. Ungeweza tu kusema jamaa ana kosa A na una fununu kuwa atatumbuliwa siku za karibuni. Na labda ungeweza kukumbushia mwishoni kuwa ''mnakumbuka huyu ndiye aliyekuwa na jeuri ya kusema blah blah blah siku za nyumba!