macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,770
- 39,552
Huu ndio uungwana mkuu. Asante sana. Waungwana kama wewe siku hizi wameadimika kama almasi.Nimekusoma mzee na nitafanyia kazi ushauri, pamoja.
Huu ndio uungwana mkuu. Asante sana. Waungwana kama wewe siku hizi wameadimika kama almasi.Nimekusoma mzee na nitafanyia kazi ushauri, pamoja.
Huijui hiyo timu aliyoitaja?Tudokezeeni kidogo, ni nani huyo shombe
Wataua bendiHUU KWANZA ANAKWEPA KODI ZA MAFUTA SANA.AFANYIWE AUDIT YA MIAKA SABA NYUMA
Halafu alimchangia Lowasa kwenye kampeni ya urais 2015! Patamu hapo!Amsamehe bure maana alikuwa hajui alitendalo ila achunguzwe kama amelipa kodi hawezi akawa na jeuri namna hii
Dadeki.....Lazima arudi Ujerumani fasta, dharau sio nzuri.Halafu alimchangia Lowasa kwenye kampeni ya urais 2015! Patamu hapo!
Hans ba popooooooTudokezeeni kidogo, ni nani huyo shombe
Kabuli la mkurugenzi liko wapi kwa sasaKuna siku nikiwa Lusaka kipindi cha kampeni mkurugenzi wa jiji la Lusaka alimyima sata kibali cha kufanya kampeni, sata akatinga hadi jiji akamwabia yule mkurugenzi kuwa hawaambie waliomtuma kuwa siku akiwa rais atakomesha tabia ya watumishi kuwa sehemu ya vyama tawala, alichoambulia sata ni tusi toka kwa yule mkurugenzi kuwa, wewe mbwa asiye na Elimu nani akupe urais wa nchi, kama siyo walinzi wa sata ngumi zingelika, bahati mbaya kwa mkurugenzi sata akashinda urais.
ni baba yakeMtu mwenyewe mhaini. Ndiyo maana anaishia kwenye vikamati kwenye mpira maana katiba haimruhusu kugombea!
Sijakusoma hapo.ni baba yake