Mikhail Tal
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 377
- 672
- Thread starter
- #141
Yaah hapo sawa mkuu sema ndo hivo sio hustle kihivo ili mradi kitu unakipenda hutaona shida kabisaChangamoto zingine ni kwenye kusahisha majaribio na mitihani, hapo unakuwa huna tofauti na walimu wa sekondari/msingi. Kama unafundisha wanafunzi 100+ masomo tofauti tofauti hapo mgongo lazima upinde.