Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,668
Lazima uone aibu kwasababu nafsi itakusuta mpaka kesho unajipa wadhifa ambao hustahiki kuwa nao,unafikiri elimu ni rahisi ehhh watu tunatembea na pride zetu!
Masters mtu unaandika tu na kusubmit ofcoz kuna possibility kubwa usiandike ww na ucopy na kupaste!Masters unatakiwa usimame uidefend orally kwasababu ni kazi uloitolea jasho,na wakiona defence yako ni mbovu maanake ni kazi ambayo umeilipua na hujui ulichofanya....grade inashuka kama ulipata A kwenye kuandika ukipata E kwenye kuidefend orally unaishia na D. Ukiachilia mbali hio ya kucopy na kupaste sasa ile ukisubmit tu through univeristies website inapelekwa direct kwenye scanning ya plagerism na references zote zinachekiwa watu mnakaa matumbo joto !Nyie mnacheza huko wallahi !
Masters mtu unaandika tu na kusubmit ofcoz kuna possibility kubwa usiandike ww na ucopy na kupaste!Masters unatakiwa usimame uidefend orally kwasababu ni kazi uloitolea jasho,na wakiona defence yako ni mbovu maanake ni kazi ambayo umeilipua na hujui ulichofanya....grade inashuka kama ulipata A kwenye kuandika ukipata E kwenye kuidefend orally unaishia na D. Ukiachilia mbali hio ya kucopy na kupaste sasa ile ukisubmit tu through univeristies website inapelekwa direct kwenye scanning ya plagerism na references zote zinachekiwa watu mnakaa matumbo joto !Nyie mnacheza huko wallahi !