wolverineGG
JF-Expert Member
- Feb 13, 2025
- 1,409
- 2,466
Vile meili na ubongo vinashindwa ku-coordinate. Yaani meili unaweza ukawa umecheka unahitaji pumzika lakin ubongo unakua bado una energy, and vice versa.
Nimeichukua boss asante sanaJe umewahi kufanya Kazi za usiku ?
Mfano kuwa Askari , mlinzi n.k
Umepita jeshini ?
If yes hali Kama hiyo alikuwa anapitia mzee Wangu .
Ila dawa iliyomtibu ni Chumvi ya mawe na mkaa .
Yeye alikuwa anaamka sana usiku na akilala anaona kitu au MTU anamkaba anapiga kelele Sana
So nilimpatia Tiba ya Chumvi ya mawe na katika kitanda anaweka mkaa kipande kidogo .
Hali hii imekata .
Hila ilichagizwa na
Kukaa jeshini
Kufanya Kazi za usiku
N.k
Ahaa siwezUsilale na nguo za kubana.
Wakati huo ukifika huyo mtu akaja, relax usipambane wewe Tulia tu.
UongooMimi kazi yangu ya boda boda sipumziki kabisa 😎
😂😂 iyo hapanaNakutabiria nikupe namba nikuunganishe na mganga wa kienyeji uanze kazi unq nyota Kali sana tutapiga hela,, sawa
Fuatia maneno
Ninyi Milango ya baharini , mmi mwachi najitoa sadaka kwenu
Siku chache sanaSo mkuu hiyo issue ipo kila siku kwenye maisha yako? Au sometimes jamaa anakuacha upumzike?
Ungejibu na hayo maswali hii itasaidia watu watakaokuja kusoma kupata mwangaNimeichukua boss asante sana
Ahaha sio kweliHao ni wachawi mna lineage ya uchawi kwenye ukoo kama haupo kwenye chama basi ushaingizwa bila kujua siku ukijua unakua ushakua pilot wa ungo35 fighter jet
Hawana makandokandoKwann hawana kwakua ni wazazi don't trust anyone in this world son,, ukifunguliwa rohoni according to walokole utaona duniani upo peke ako
Ni kwelijuz yalikuja usiku nikawa nakemea bado magumu nikasoma
Zaburi hayakunisumbua
Na ukikemea ni chap yanatoka
Ni nguvu za giza
Ukisoma neno kuna nguvu inakaa ndani yako (light 💡)
Alf watu wachache wanaosumbuliwa na hayo mambo kuna vitu vikubwa wamebeba
Wakiangalia kwenye ulimwengu wa kiroho wanakuona ulichobeba wanaanza kukufuatilia
Akili zako 😂😂Hapo mpe mkeo alale naye coz ni shem wake hataota ndoto mbaya..!! 😹
Nimepita ukoUngejibu na hayo maswali hii itasaidia watu watakaokuja kusoma kupata mwanga
Mfano kuhusu kufanya Kazi za usiku zinahusu usalama
N.k
Najua utapona Ila we have to keep reference.
Asante snaPole mkuu
Achana na kulala usiku lala asibuhi kwa muda wa mwezi mmoja..kama unaendaga kanisani au msikitini au kwa waganga wa kienyeji acha mara moja.Nalala mapema sana saa nne nakuwa nimelala kabisa nimechelewa sana saa tano situmiii vinywaji vyenye caffeine
Okay nafikiri mambo yatakaa sawa sasa na ukipona usisahau kuleta mrejeshoNimepita uko
Kazi za watu ata fanya nani?Achana na kulala usiku lala asibuhi kwa muda wa mwezi mmoja..kama unaendaga kanisani au msikitini au kwa waganga wa kienyeji acha mara moja.
Nitaleta mkuuOkay nafikiri mambo yatakaa sawa sasa na ukipona usisahau kuleta mrejesho
Endelea Ku enjoy hapa the home of great. ThinkersNitaleta mkuu