Naombeni ushauri

Unalalaje ubavu wa kiume ? Eeh

Haya wewe sii ndo mpinga ugali ? Ushawah mtu anayekula nguna ana ttzo kama Hilo ?
Mazoea siwez lala naangalia juu kabisa tatizo lilianzia hapo kulala na angalia juu nika katazwa na wazee toka mdog
 

Unaishi mkoa gani? Unaitajia Mtu wa uhakika kukuombea, na sio hawa manabii feki
 
Mimi sio mtaalamu sana! Ila kutokana na experience yangu hali hiyo inawapata wengi tu, mimi nikiwa miungoni mwao,
Huko kubanwa ni kwasababu ya JINAMIZI.
N kutokupata usingiz na kushtuka usiku mnene ni issue ya kusaikolojia sanasana.

Kusolve jinamizi na kushtuka shtuka.
Wataalam wanasema kwenye hali ya kubanwa pale mtu akikugusa tu - basi hali ile huisha (So ikashauriwa usilale pekeyako, at least muwe wa 2 msogeleane kdg-kama umeoa itapendeza zaidi)
Pia, usipende kulala chali (kulaliA tumbo) - lalia mgongo au ubavu.
Pia, soma dua wakati wa kulala au sali
Pia, usilale mapema sana au kwa kuchelewa sana, angalau saa 4:30 hadi 6:30 uwe umeshalala.
Lastly, lala ukiwa umechoka. Kama kazi zako sio ngumu, fanya mazoezi jioni ili ukilala unapata usingizi chap.

NB: hayo mambo wengi wanaweza kutafsiri kama kuna uchawi, ila tafadhali think wise, hamna uchawi hapo ni jinsi ya kucheza na mindset yako tu. (Nimeongea kama mhanga - na jinsi navyojisaidia).

Samahanini kwa uandishi m-bovu.
 
Embu fafanua
Wasichoelewa wakristo wengi ni ...

Mungu kukusaidia sababu sio kuwa mwema

Mungu kukusaidia ni uwe mtii kwake, Kutii sauti yake.. (Mungu ndio anataka hilo)
Kumpenda Mungu maana yake Kumtii.

Piga picha sasa:-
1. Hujui purpose yako hapa duniani
2. Hujui kusikia sauti ya Mungu
3. Hujawai kufata agizo la Mungu.
4. Kuchanganya na imani potofu, (Mkristo na unatoa sadaka kwa miungu au mizimu)
5. Nafsi mmefungwa na hujui imefungwa na nn kwakutokuwa msikivu wa Ndoto zinazofunua mambo yote.
6. Adui yako anaweza kuwa mtu wako wa karibu na unamtegemea sana.

Tafuta Agano na kumjua Mungu zaidi.
 
Tayari wewe Uchawi Unakunyemelea Nakushauri Ujiunge nao
 
Tambiko Lina Raha yake warere 😍
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…