Naombeni ushauri wenu, nahitaji nunua iphone 6s+

Naombeni ushauri wenu, nahitaji nunua iphone 6s+

Ha ha ha ha..naona mtoa mada kauliza swali wanaomjibu wamehamia kwenye Android vs iOS,imenikumbusha hii video hapa na video hii

Mkuu olsea hizo video umezipata wapi wamarekani wajanja wajanja tu nw ndio kabisa sitokaa tena niiweke iphone kichwani mwangu kwa video hizo nadiriki kusema MICROSOFT (windows phone ni bora kimatumizi ) kuliko iphone sasa hapa kilichobaki ni kuangalia namna ambayo nitaweza tu kuchukua android next week nianze faidi maujanja ya android .Usalama wa taarifazangu kitu gani bwana ? Mimi nina siri ipi ambayo itanilazimu mpka niwe naiphone ndio nitumie Olsea nadhani umenielewa be patient bro tukamilishe ule mpango
 
Yaani video ya pili mchizi hajakaa sawa anaambiwa betri imebaki na asilimia moja kwa great thinker atuambie ni mambo mangapi hapo iphone user amehanya /sanda dhidi ya android user ?
 
Mkuu olsea hizo video umezipata wapi wamarekani wajanja wajanja tu nw ndio kabisa sitokaa tena niiweke iphone kichwani mwangu kwa video hizo nadiriki kusema MICROSOFT (windows phone ni bora kimatumizi ) kuliko iphone sasa hapa kilichobaki ni kuangalia namna ambayo nitaweza tu kuchukua android next week nianze faidi maujanja ya android .Usalama wa taarifazangu kitu gani bwana ? Mimi nina siri ipi ambayo itanilazimu mpka niwe naiphone ndio nitumie Olsea nadhani umenielewa be patient bro tukamilishe ule mpango
Hawa wameweka mchele uwanjani.

Kiukweli ios wanatakiwa wajitafakari, naiona hatari yao hasa wakati huu ambao, mzee wa inovation nokia anapiga jaramba, tayari kabisa kuja kuwagongea hodi washindani wawili samsung & iphone sjui ni nani ataibuka mshindi wa tatu hapo.

[emoji28] [emoji28] [emoji28] iphone 7 iko around 2+ml,ikiwa haijafanya chochote cha tofauti kuzizidi hizi yeboyebo, embu ngoja nikae pembeni niwe mtazamaji, 2yrs leter story zitakuwa nyingine hapa.

Sijui nokia wanakujaje.
 
Hawa wameweka mchele uwanjani.

Kiukweli ios wanatakiwa wajitafakari, naiona hatari yao hasa wakati huu ambao, mzee wa inovation nokia anapiga jaramba, tayari kabisa kuja kuwagongea hodi washindani wawili samsung & iphone sjui ni nani ataibuka mshindi wa tatu hapo.

[emoji28] [emoji28] [emoji28] iphone 7 iko around 2+ml,ikiwa haijafanya chochote cha tofauti kuzizidi hizi yeboyebo, embu ngoja nikae pembeni niwe mtazamaji, 2yrs leter story zitakuwa nyingine hapa.

Sijui nokia wanakujaje.
Mkorinto ndio maana nimesema wacha niingie gharama nyingine niwe na simu ya pili ya android mambo yaende nifike ninakotaka nilipamis niko window nikiwa na micro 950xl inafanya vizuri sana ila kwa upande wa android napamis sana
 
Mi nayaita mambo ya ajabu, maana ukishafungua tu play store unakutana na mambo mengi sana ya ajabu, mara vilauncher, mara vifont vya kubadilisha maandishi , sijui viapp vya ajabu ajabu halafu havina maana yoyote ni planks tupu yaani utakuta crack my screen, mara scan your finger, mara ants on screen. Kwenye eco system app ya app store huwezi kukuta ujinga huo
True
 
NOKIA unamuweka wapi camera iphone ni reality haina cha Hdr wala nn ila samsung kiboko
Nikichokiona kwa Nokia. Especially window phones.
Hizi apps zetu za kiswahili kwenye playstore, nyingi ziko kwenye mfumo wa android na iOS.
So ukiwa na nokia, utakosa mengi.
 
Mkuu WAHEED SUDAY, em nisaidie kidogo hapo kuhusu UWEZO wa Memory card.
Utajuaje kuhusu "data ready" na "write sequential."?
 
Hapa ninavyoona wanataka iwe na system ya kuweka laini mbili (dual)
 
Mkuu waheed hivi haya masimu sijui yamaitwaje vile ivone sijui yanayo ata flash share au apps ypyote ya kutransfer videos ,data,pictures docu,na mengine kama ilivyo kwa simu androids na lakini pia ata windows wanayo DUKTO?
 
Nikichokiona kwa Nokia. Especially window phones.
Hizi apps zetu za kiswahili kwenye playstore, nyingi ziko kwenye mfumo wa android na iOS.
So ukiwa na nokia, utakosa mengi.
nokia nae kaja na android kwa simu yake mpya!!!!
 
Huyu mleta mada anaonekana ni beginner,haelewi chochote wala hajui anachotaka kufahamu. Ni vema anaelewa kuhusu iphone amuelezee kadiri ya uwezo wake kwa jinsi anavyoifahamu iphone, kuliko kuanza kumponda, kumkatisha tamaa na kuingiza mada ya kufananisha android na ios. Mwisho kabisa hakuna aliye zaliwa anajua.
 
Nikichokiona kwa Nokia. Especially window phones.
Hizi apps zetu za kiswahili kwenye playstore, nyingi ziko kwenye mfumo wa android na iOS.
So ukiwa na nokia, utakosa mengi.
Ila kwa iphone inatakiwa uende na tym ikileta update inatakiwa uapdate some iphone app znaendana na version ya IOS mfano Iphone 3G sa hv ni kama urembo haibebi app yyte hata software yake haikubal update mpya mwisho IOS 6
 
Kwa nini uwe na line zaidi ya moja?
Line moja ya binafsi na line ya pili ni kwaajiri ya business zangu coz siwezi changanya line ya binafsi na mambo yangu ya biashara so ukinipigia kwny line yangu ya pili automatic najua ni ishu ya biashara
 
Naomba na mimi nikuulize kwanini umewaza kununua Iphone 6 ?
kwa usalama wangu wa data
8759f07cf0dcdb2f27686c84a9688e87.jpg
 
Back
Top Bottom