Raphael gadau
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 1,006
- 306
naombeni ushauri wenu nahitaji nunua iphone 6s+ iphone sjawahi tumia inasemeka ni simu nzuri sana ukiitumia na ukishaizoea huwezi tamani kutumia androd tena.
Mimi nilikuwa naomba mwongozo au maelekezo ukishainunua cha kwanza cha mhimu unatakiwa uifanyie kitu gani nikimaanisha mambo ya settingg maana simu hizi zpo kiprofeshino ukikosea tu inajiloki msaada kwa anaye zijua hizi smu zinahitaji umakini wa hali ya juu sana
Mimi nilikuwa naomba mwongozo au maelekezo ukishainunua cha kwanza cha mhimu unatakiwa uifanyie kitu gani nikimaanisha mambo ya settingg maana simu hizi zpo kiprofeshino ukikosea tu inajiloki msaada kwa anaye zijua hizi smu zinahitaji umakini wa hali ya juu sana