LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,457
Mna msaidizi wa kazi za ndani?
Nahisi hilo ni tatizo linalochangia
Unless mtu una mazoea ya kuoga asubuhi kabla ya kufanya chochote ila kazi za nyumbani ukiwa mwenyewe usipojipanga zinakupanga mbayaa unashida na dela/leggings na tshirt unahaha 😅 mara vyombo mara deki mara chooni mara nguo mara mtoto mara upike mara sokoni mara utenge chakula mara sijui nini utashaaa mbona ;wadada wengi can you feel me here😅?
Lakini dada akiwepo?si hata mtapokezana
We ukiamka unaoga unapika chai ye anafanya usafi na anafua labda
Unapika lunch mnakula anaosha vyombo we unaoga unapumzika... nk
Jioni mnaweza pokezana kazi pia ama unanyoosha mguu na TV tu ushaoga umevaa vzuri ama kuzurura nk
Na hata dada nae anarest kidogo
Vinginevyo utageuka kichaa kwako mwenyewe!
Wekeni wafanyakazi jmn msitese wake zenu wanashidwa hata kuupara!!
Nahisi hilo ni tatizo linalochangia
Unless mtu una mazoea ya kuoga asubuhi kabla ya kufanya chochote ila kazi za nyumbani ukiwa mwenyewe usipojipanga zinakupanga mbayaa unashida na dela/leggings na tshirt unahaha 😅 mara vyombo mara deki mara chooni mara nguo mara mtoto mara upike mara sokoni mara utenge chakula mara sijui nini utashaaa mbona ;wadada wengi can you feel me here😅?
Lakini dada akiwepo?si hata mtapokezana
We ukiamka unaoga unapika chai ye anafanya usafi na anafua labda
Unapika lunch mnakula anaosha vyombo we unaoga unapumzika... nk
Jioni mnaweza pokezana kazi pia ama unanyoosha mguu na TV tu ushaoga umevaa vzuri ama kuzurura nk
Na hata dada nae anarest kidogo
Vinginevyo utageuka kichaa kwako mwenyewe!
Wekeni wafanyakazi jmn msitese wake zenu wanashidwa hata kuupara!!