1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,327
- 12,691
Pole mwamba,
Ila najiuliza kabla ya ndoa alikuwa ananuka mdomo?
Huwa tunashauriwa ukae nae hata miezi 6,, hiki kipindi cha matazamio,,
Ila ndo ivo tukiongea tunaoneka wahuni,,
Pole sanaaa umejitahidi kumbadirisha lakini amekuwa jipu.
Endelea kumbadilisha mkuu huenda akabadirika huko baaade sanaa,,
Ila najiuliza kabla ya ndoa alikuwa ananuka mdomo?
Huwa tunashauriwa ukae nae hata miezi 6,, hiki kipindi cha matazamio,,
Ila ndo ivo tukiongea tunaoneka wahuni,,
Pole sanaaa umejitahidi kumbadirisha lakini amekuwa jipu.
Endelea kumbadilisha mkuu huenda akabadirika huko baaade sanaa,,