Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,827
- 3,569
Huu ni uhuni. Kwahiyo ukiona hakufai unamwacha unadandia mwingine, sivyo? Utadandia wangapi? Na uliyemwoa alishadandiwa na wangapi? Ungependa kuoa volunteer sugu? Kwa mpango huu wa kwako utasabaisha kuwepo wanawake wachakavu wengi ambao kila mtu anajaribia zana hapo kwake, na wanaume wachakavu ambao wameshachovya kila mahali. Ndipo mnapata ndoa zilizokwisha kuchakaa tangu hata hazijaanza. Mitumba sugu. Hii kamwe siyo sifa njema.Mkiambiwa mkae nao ndani kabla ya kuji commit hamtaki! Mnaleta ulokole haya sasa pambana na hali yako. Demu hakaguliwi kwa kuja kulala kwako weekend na kuodoka au kukutana lodge tu.
Mteke, ishi nae ndani kwa miezi kadhaa kabla hujamuoa (Volunteer Program). It works kama demu anajitegemea mshawishi ukae nae sehemu moja utamjua madhaifu yake yote kabla hata hujalipa mahali.
Wanawake wa sikuhizi ni hovyo sana hasa hawa wa 2000's