msafinia
Member
- Jul 5, 2020
- 79
- 441
- Thread starter
- #121
PointHamna kitu kinachokera kama Kuongea namtu anayenuka mdomo.
Sembuse kupiga denda, nitaweza kweli???
Kama umetumia mbinu zote za kidiplomasia na umeshindwa.. Tupia mbinu zakijeshi.
Yaan mwambie" Wife wakat wa uchumba ulikua msafi wa mwili sana kiasi ulifanya niwe nakuhitaji kimwili kila mara, ila siku hizi umeusahau usafi wa mwili, mswaki hupigi, yaaan Unanikata mzuka na stimu zakutombana nawewe SINA.
Asipobadilika, anza kuchelewa kurudi home.
Wewe usiogope et ukichelewa kurudi nayeye ataamua kuchepuka... Noooo.. Kwasababu umemwambia ukweli kua ananuka mdomo, atajishtukia ,ataogopa kuchepuka sababu anajua huyo mchepuko wake naye atamjua kua ananuka mdomo..... Kwaiyo atabaki kukuona kama msiri wake... Nakwasababu unachelew Kurudi, na hutomani naye, atajishtukia tena, atahisi unachepuka, .. Itamlazimu kubadilika ili kukuvutia, ataanza kua msafi kama zamaniii, na atanoga, na ataanza kukushobokea kila ukija, ili akuromance, uone mabadiliko.
HAWA MADEMU, MBINU YA KIDIPLOMASIA IKISHINDWA, TUMIA MBINU YA KIJESHI
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app