Love Doctor
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 728
- 787
Sawa, nnalichukua na kulifanyia kaziMaoni yangu madogo
Biashara ya nafaka ni biashara nzuri sana ukiwa na mtaji mkubwa kama huo wako unapata urahisi wa kuzungusha
Nina uzoefu na mchele
Unaweza kununua mpunga ukaja kukoboa na kuuza mchele au unaweza tu kununua na mchele na kuuza
Soma soko la eneo ulilopo wanakula zaidi mchele gani bei zao utapata pa kuanzia
Kwa kipindi hiki mchele ipo ni fursa ukiwa na mtaji
Kwa nini usiulize kama nimewahi kuchezewa? ila ni kawaida mnapoachana kila pande kuhisi imeonewaHujawahi kumchezea dada mmoja? kinapenzi
Mahusiano na wazazi yapo vizuri sanaWazazi wapo hai?vipi mahusiano yako nao
Asante mkuuDuhhh,kaka pole aseee,mitihani migumu sana umepitia mzee.
hawana usemi zaidi ya kuwa na upande wanguMke wako anasemaje kuhusu hili? Na wazazi je?
Kweli mkuuPole sana Kiongozi hili nalo litapita hakuna gumu lenye kudumu
nmeuliza nna maana yangu, mana kuna mtu wangu wa karibu alijikuta ameachishwa kazi siku hio hio anatoka ofisini na crown yake kasimama kwenye mataa roli likaja likamgonga nyuma likachakaza gari afu kama muujiza bima yake iliisha jana yake! imagine!!! jamaa aliomba kazi miaka mi3 hapati alihangaika akaja kuambiwa kuna mwanamke ulishakuaga nae serious unataka umuoe dada wa watu akabadili na dini process zinakaanza afu akapata demu mwingine ukamwacha basi kakunuia hutakaa ufanikiwe maisha... ndo mana nmeuliza kama umewahi kuchezea ndoto za mwanamke fulaniKwa nini usiulize kama nimewahi kuchezewa? ila ni kawaida mnapoachana kila pande kuhisi imeonewa
Sent from my SM-M135FU using JamiiForums mobile app
Hapana sijawahi, lakini nimewahi kuachana na mtu tuliyekuwa tunapendananmeuliza nna maana yangu, mana kuna mtu wangu wa karibu alijikuta ameachishwa kazi siku hio hio anatoka ofisini na crown yake kasimama kwenye mataa roli likaja likamgonga nyuma likachakaza gari afu kama muujiza bima yake iliisha jana yake! imagine!!! jamaa aliomba kazi miaka mi3 hapati alihangaika akaja kuambiwa kuna mwanamke ulishakuaga nae serious unataka umuoe dada wa watu akabadili na dini process zinakaanza afu akapata demu mwingine ukamwacha basi kakunuia hutakaa ufanikiwe maisha... ndo mana nmeuliza kama umewahi kuchezea ndoto za mwanamke fulani
basi pia musanye kama suspectHapana sijawahi, lakini nimewahi kuachana na mtu tuliyekuwa tunapendana
Sent from my SM-M135FU using JamiiForums mobile app
Wewe umewahi kwenda kwa mganga ukatoboa?Hii dunia bila kuroga hutoboi,nenda kwa mganga utengenezwe
Thanks brotherTatizo lako linaanzia hapo kuwaza kua umerogwa,kwanza toa hilo wazo kichwani mwako ili uwe free,
Kumbuka kua wewe sio mtu wa kwanza kupitia hayo unayoyapitia,kumbuka kua wapo watu wana shida zaidi yako,
Endelea kupambana,ukiona giza linazidi jua kua imekaribia kupambazuka,usikate tamaa,hiyo ni mitihani tu ambayo inahitaji uvumilivu,kumuamini Mungu na kupambana,
Uaswaze sana usije ukaharibu afya yako ambayo ndio mtaji wako mkubwa,
Good luck Brother.
Sijaenda ila nina mpango wa kwenda