Naombeni ushauri nnahisi nimerogwa!

Naibili

JF-Expert Member
Jan 24, 2011
1,730
519
Wana Jamvi, Mwenzenu leo nimekuja nnaomba ushauri, Ni zaidi ya miaka miwili sasa mambo yangu hayaendi jinsi inavyopaswa mpaka inanipelekea kuhisi kwamba inawezekana kuna kitu hakipo sawa.

Mwaka 2020 nikiwa niko kwenye ajira, kwenye kitengo muhimu, mtu anayetegemewa, mwenye record nzuri kazini, performance nzuri lakini nikachaguliwa kuwa miongoni mwa wanaopaswa kupunguzwa na ofisi kwa kigezo kuwa kampuni haifanyi vizuri. kwa hiyo kazi ilikoma mwezi wa 6 mwaka 2020.

wakati huo sikuona shida sana kwa kuwa nlikuwa na miradi kadhaa iliyokuwa na uwezo wa kuniweka mjini, nlikuwa na Vi IST vyangu viwili vinafanya biashara ya kubeba abiria kupitia mtandao.

lakini pia nlikuwa nnafuga kuku wa mayai wasiopungua 1000, na shambani kwangu nlikuwa nimepanda mazao ambayo niliyategemea kibiashara ambayo ni mapapai na migomba. kwa bahati mbaya mapapai hayakuzaa kama ilivyo tarajiwa na migomba nayo haikufanya vizuri,

baada ya kazi kuisha nilimpunguza dereva mmoja nikaanza kuendesha mwenyewe gari moja ili kujiongezea kipato, cha kushangaza hata hesabu ya gari nikawa sifikishi, hela haionekani, ukiwa barabarani hela unaiona lakini ukija kwenye akiba hakuna hela, ukiangalia matumizi sio makubwa ila hela haionekani.

mwanzoni mwa mwaka 2021, picha linaanza kule shambani kuku waakanza kufa kila siku unaokota kuku 100 mpaka 200, ugonjwa haujulikani, kuku wana chanjo zote, wamepewa dawa zote, chakula ni kile kile Daktari wa mifugo ilibidi na yeye anyooshe mikono kuku wote walikufa.

Rafiki yangu moja akanipeleka kwenye biashara nyingine, hiyo biashara inataka uwekeze hela nyingi kama milioni 30 kuendelea ndio utaona faida, nikawekeza kwenye hiyo biashara, mwaka wa kwanza sikupata kitu nikasema hapa nlikuwa nnatafuta uzoefu, mwaka wa pili bado sikupata faida yoyote ile, lakini wakati huo wengine wanapata faida na mafanikio yao yanaonekana wazi wazi.

Naombeni ushauri, kwa sasa sina pesa mtaji, zile IST niliuza ili kuongezea mtaji kwenye biashara ambayo nilitegemea ingenitoa lakini haikuwa hivyo. Naombeni Ushauri ndugu zangu.

Sent from my SM-M135FU using JamiiForums mobile app
 
Pole Sana mkuu. Chunguza mapito yako kwenye kitengo nyeti ulihokuwepo huko kazini. Jiulize na uchukue hatua

Wangapi uliwaumiza Kwa namna moja ama nyingine?

Mali ulizochuma zilikuwa Halali?

Mara nyingine huwa ni karma Tu.

Lastly tubu na ujiweke karibu na muumba
 
Pole Sana mkuu. Chunguza mapito yako kwenye kitengo nyeti ulihokuwepo huko kazini. Jiulize na uchukue hatua

Wangapi uliwaumiza Kwa namna moja ama nyingine?

Mali ulizochuma zilikuwa Halali?

Mara nyingine huwa ni karma Tu.

Lastly tubu na ujiweke karibu na muumba
Huko hapana mkuu, sijawahi kuchukua kisicho halali, nilikosana na watu wengi sababu ya uaminifu mkuu,

Sent from my SM-M135FU using JamiiForums mobile app
 
Wana Jamvi, Mwenzenu leo nimekuja nnaomba ushauri, Ni zaidi ya miaka miwili sasa mambo yangu hayaendi jinsi inavyopaswa mpaka inanipelekea kuhisi kwamba inawezekana kuna kitu hakipo sawa.

Mwaka 2020 nikiwa niko kwenye ajira, kwenye kitengo muhimu, mtu anayetegemewa, mwenye record nzuri kazini, performance nzuri lakini nikachaguliwa kuwa miongoni mwa wanaopaswa kupunguzwa na ofisi kwa kigezo kuwa kampuni haifanyi vizuri. kwa hiyo kazi ilikoma mwezi wa 6 mwaka 2020.

wakati huo sikuona shida sana kwa kuwa nlikuwa na miradi kadhaa iliyokuwa na uwezo wa kuniweka mjini, nlikuwa na Vi IST vyangu viwili vinafanya biashara ya kubeba abiria kupitia mtandao.

lakini pia nlikuwa nnafuga kuku wa mayai wasiopungua 1000, na shambani kwangu nlikuwa nimepanda mazao ambayo niliyategemea kibiashara ambayo ni mapapai na migomba. kwa bahati mbaya mapapai hayakuzaa kama ilivyo tarajiwa na migomba nayo haikufanya vizuri,

baada ya kazi kuisha nilimpunguza dereva mmoja nikaanza kuendesha mwenyewe gari moja ili kujiongezea kipato, cha kushangaza hata hesabu ya gari nikawa sifikishi, hela haionekani, ukiwa barabarani hela unaiona lakini ukija kwenye akiba hakuna hela, ukiangalia matumizi sio makubwa ila hela haionekani.

mwanzoni mwa mwaka 2021, picha linaanza kule shambani kuku waakanza kufa kila siku unaokota kuku 100 mpaka 200, ugonjwa haujulikani, kuku wana chanjo zote, wamepewa dawa zote, chakula ni kile kile Daktari wa mifugo ilibidi na yeye anyooshe mikono kuku wote walikufa.

Rafiki yangu moja akanipeleka kwenye biashara nyingine, hiyo biashara inataka uwekeze hela nyingi kama milioni 30 kuendelea ndio utaona faida, nikawekeza kwenye hiyo biashara, mwaka wa kwanza sikupata kitu nikasema hapa nlikuwa nnatafuta uzoefu, mwaka wa pili bado sikupata faida yoyote ile, lakini wakati huo wengine wanapata faida na mafanikio yao yanaonekana wazi wazi.

Naombeni ushauri, kwa sasa sina pesa mtaji, zile IST niliuza ili kuongezea mtaji kwenye biashara ambayo nilitegemea ingenitoa lakini haikuwa hivyo. Naombeni Ushauri ndugu zangu.

Sent from my SM-M135FU using JamiiForums mobile app

Ukianza kuwaza kwamba unalogwa, ujue unaelekea kuharibu maisha, there are difficult moments, hutaki tu kukubaliana nazo.

Unafikiri huu uchawi ulingoja upunguzwe kazi? Pambana na maisha, acha kuwaza unalogwa, hakuna mtu anakuloga.

Shikamana tu na imani yako, lakini sio kwa mawazo kamba unalogwa, hakuna mtu anayekuloga ndugu yangu.
 
Ukianza kuwaza kwamba unalogwa, ujue unaelekea kuharibu maisha, there are difficult moments, hutaki tu kukubaliana nazo.

Unafikiri huu uchawi ulingoja upunguzwe kazi? Pambana na maisha, acha kuwaza unalogwa, hakuna mtu anakuloga.

Shikamana tu na imani yako, lakini sio kwa mawazo kamba unalogwa, hakuna mtu anayekuloga ndugu yangu.
Sawa mkuu, Lakini how come wengine wanafanikiwa mimi sifanikiwi?

Sent from my SM-M135FU using JamiiForums mobile app
 
Wana Jamvi, Mwenzenu leo nimekuja nnaomba ushauri, Ni zaidi ya miaka miwili sasa mambo yangu hayaendi jinsi inavyopaswa mpaka inanipelekea kuhisi kwamba inawezekana kuna kitu hakipo sawa.

Mwaka 2020 nikiwa niko kwenye ajira, kwenye kitengo muhimu, mtu anayetegemewa, mwenye record nzuri kazini, performance nzuri lakini nikachaguliwa kuwa miongoni mwa wanaopaswa kupunguzwa na ofisi kwa kigezo kuwa kampuni haifanyi vizuri. kwa hiyo kazi ilikoma mwezi wa 6 mwaka 2020.

wakati huo sikuona shida sana kwa kuwa nlikuwa na miradi kadhaa iliyokuwa na uwezo wa kuniweka mjini, nlikuwa na Vi IST vyangu viwili vinafanya biashara ya kubeba abiria kupitia mtandao.

lakini pia nlikuwa nnafuga kuku wa mayai wasiopungua 1000, na shambani kwangu nlikuwa nimepanda mazao ambayo niliyategemea kibiashara ambayo ni mapapai na migomba. kwa bahati mbaya mapapai hayakuzaa kama ilivyo tarajiwa na migomba nayo haikufanya vizuri,

baada ya kazi kuisha nilimpunguza dereva mmoja nikaanza kuendesha mwenyewe gari moja ili kujiongezea kipato, cha kushangaza hata hesabu ya gari nikawa sifikishi, hela haionekani, ukiwa barabarani hela unaiona lakini ukija kwenye akiba hakuna hela, ukiangalia matumizi sio makubwa ila hela haionekani.

mwanzoni mwa mwaka 2021, picha linaanza kule shambani kuku waakanza kufa kila siku unaokota kuku 100 mpaka 200, ugonjwa haujulikani, kuku wana chanjo zote, wamepewa dawa zote, chakula ni kile kile Daktari wa mifugo ilibidi na yeye anyooshe mikono kuku wote walikufa.

Rafiki yangu moja akanipeleka kwenye biashara nyingine, hiyo biashara inataka uwekeze hela nyingi kama milioni 30 kuendelea ndio utaona faida, nikawekeza kwenye hiyo biashara, mwaka wa kwanza sikupata kitu nikasema hapa nlikuwa nnatafuta uzoefu, mwaka wa pili bado sikupata faida yoyote ile, lakini wakati huo wengine wanapata faida na mafanikio yao yanaonekana wazi wazi.

Naombeni ushauri, kwa sasa sina pesa mtaji, zile IST niliuza ili kuongezea mtaji kwenye biashara ambayo nilitegemea ingenitoa lakini haikuwa hivyo. Naombeni Ushauri ndugu zangu.

Sent from my SM-M135FU using JamiiForums mobile app
Pole mkuu.....

Unahitaji kufanya "harakati" za kukunasua.....

Japo mitihani ipo....ila hiyo si "bure".....
 
Wana Jamvi, Mwenzenu leo nimekuja nnaomba ushauri, Ni zaidi ya miaka miwili sasa mambo yangu hayaendi jinsi inavyopaswa mpaka inanipelekea kuhisi kwamba inawezekana kuna kitu hakipo sawa.

Mwaka 2020 nikiwa niko kwenye ajira, kwenye kitengo muhimu, mtu anayetegemewa, mwenye record nzuri kazini, performance nzuri lakini nikachaguliwa kuwa miongoni mwa wanaopaswa kupunguzwa na ofisi kwa kigezo kuwa kampuni haifanyi vizuri. kwa hiyo kazi ilikoma mwezi wa 6 mwaka 2020.

wakati huo sikuona shida sana kwa kuwa nlikuwa na miradi kadhaa iliyokuwa na uwezo wa kuniweka mjini, nlikuwa na Vi IST vyangu viwili vinafanya biashara ya kubeba abiria kupitia mtandao.

lakini pia nlikuwa nnafuga kuku wa mayai wasiopungua 1000, na shambani kwangu nlikuwa nimepanda mazao ambayo niliyategemea kibiashara ambayo ni mapapai na migomba. kwa bahati mbaya mapapai hayakuzaa kama ilivyo tarajiwa na migomba nayo haikufanya vizuri,

baada ya kazi kuisha nilimpunguza dereva mmoja nikaanza kuendesha mwenyewe gari moja ili kujiongezea kipato, cha kushangaza hata hesabu ya gari nikawa sifikishi, hela haionekani, ukiwa barabarani hela unaiona lakini ukija kwenye akiba hakuna hela, ukiangalia matumizi sio makubwa ila hela haionekani.

mwanzoni mwa mwaka 2021, picha linaanza kule shambani kuku waakanza kufa kila siku unaokota kuku 100 mpaka 200, ugonjwa haujulikani, kuku wana chanjo zote, wamepewa dawa zote, chakula ni kile kile Daktari wa mifugo ilibidi na yeye anyooshe mikono kuku wote walikufa.

Rafiki yangu moja akanipeleka kwenye biashara nyingine, hiyo biashara inataka uwekeze hela nyingi kama milioni 30 kuendelea ndio utaona faida, nikawekeza kwenye hiyo biashara, mwaka wa kwanza sikupata kitu nikasema hapa nlikuwa nnatafuta uzoefu, mwaka wa pili bado sikupata faida yoyote ile, lakini wakati huo wengine wanapata faida na mafanikio yao yanaonekana wazi wazi.

Naombeni ushauri, kwa sasa sina pesa mtaji, zile IST niliuza ili kuongezea mtaji kwenye biashara ambayo nilitegemea ingenitoa lakini haikuwa hivyo. Naombeni Ushauri ndugu zangu.

Sent from my SM-M135FU using JamiiForums mobile app
Mbna ujataja hyo biashara uliopelekwa na rfk ako Hadi kupeleke kuuza ist yako
 
Sawa mkuu, Lakini how come wengine wanafanikiwa mimi sifanikiwi?

Sent from my SM-M135FU using JamiiForums mobile app

Hicho ni kiburi, mwingine hakuwahi kuwa na investment hata ya 1m, wewe umekuwa na ya 30m, na zaidi.

Hivi ulifikiri ukichukua IST yako utapata hela zaidi ya dereva mwenye uzoefu? Umefeli mwenyewe tu.

Kuna wamama Muhimbili, na watoto wadogo wasio na hatia wanakufa, mbona watu wenginr hawafi?
 
Hicho ni kiburi, mwingine hakuwahi kuwa na investment hata ya 1m, wewe umekuwa na ya 30m, na zaidi.

Hivi ulifikiri ukichukua IST yako utapata hela zaidi ya dereva mwenye uzoefu? Umefeli mwenyewe tu.

Kuna wamama Muhimbili, na watoto wadogo wasio na hatia wanakufa, mbona watu wenginr hawafi?
Kiburi kinatoka wapi hapo mkuu?

Sent from my SM-M135FU using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom