<br /><br />
<br /><br />
Kweli unastahili kucheka kwa vile kwa kifupi nimepoteza dhambi zangu. Itabidi uninunulie Ipad nizihifadhi kwenye advanced way
Hahaha!.. Kazi unayo! Endelea kumezea hivyo hivyo mpaka akuulize... Natamani kujua uliandika dhambi gani kwenye hiyo karatasi?.. Yawezekana kama alivyosema the boss, mwenzio anakucheka kwa jinsi dhambi zako zilivyo ndogo... Pole<br />
<br />
Bora yeye ndio aniulize nitamwambia nilikuwa nafwatilia mahubiri hizo ni minutes za mhubiri. Ushauri wako ni sawa na kujivua gamba(unauma sana)
<br />Nimekumbuka kitu..<br />
Kwa sasa kabla hujapata hiyo Ipad...<br />
Fanya hivi..<br />
1. Kamua limao <br />
2. Toa matetere na majongololo yote<br />
3. Brash yenye ncha ndogo <br />
( kijiti kama huna brash )<br />
4.karatasi ( mistari au la haijalishi)<br />
<br />
Andika dhambi zako hapo acha ikauke <br />
Maandishi yote yatapotea ukitaka kusoma..<br />
Weka juu ya jiko la mkaa moto .. utaona <br />
Maandishi yote..<br />
<br />
Usiweke karibu sana ..<br />
maandishi yatajitokeza kama rangi ya yellow<br />
Hivi.... <br />
<br />
Haya baadaye.. <img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/smile.png" border="0" alt="" title="Smile" smilieid="307" class="inlineimg" />
Ndg wana JF
Najua wengi mna hasira kali na mgomo wa wakubwa wa mafuta.
Lakini naomba mchukue dakika zenu chache mnishauri.
Kwa kawaida nikitenda dhambi huwa naandikaga mahala ili kuepusha adha ya kusahau ili mwisho wa mwezi nikaungame kwa padre. Sasa ile karatasi ya mwezi uliopita imepotea nimetafuta hadi nimechoka. Sasa wasi wasi wangu ni je kaikota nani? Na najua mazingira ya upotevu ni ya nyumbani kwangu, siitokagi na hio dossier ya dhambi nje ya nyumba yangu labda siku naenda kuungama.
Mazingira kama haya mtu unafanyaje?
Kwani mchungaji mnatakaga tuje na vikaratasi?Jinyonge dhambi zako za kifisadi zimesababisha Mgawo wa umeme na Mafuta hakuna
<br />Jinyonge dhambi zako za kifisadi zimesababisha Mgawo wa umeme na Mafuta hakuna
Dhambi za wastani, za kati. Ikiwemo kutamani shairi lako ulilonitungia juzi.
Ndg wana JF
Najua wengi mna hasira kali na mgomo wa wakubwa wa mafuta.
Lakini naomba mchukue dakika zenu chache mnishauri.
Kwa kawaida nikitenda dhambi huwa naandikaga mahala ili kuepusha adha ya kusahau ili mwisho wa mwezi nikaungame kwa padre. Sasa ile karatasi ya mwezi uliopita imepotea nimetafuta hadi nimechoka. Sasa wasi wasi wangu ni je kaikota nani? Na najua mazingira ya upotevu ni ya nyumbani kwangu, siitokagi na hio dossier ya dhambi nje ya nyumba yangu labda siku naenda kuungama.
Mazingira kama haya mtu unafanyaje?
Ndg wana JF
Najua wengi mna hasira kali na mgomo wa wakubwa wa mafuta.
Lakini naomba mchukue dakika zenu chache mnishauri.
Kwa kawaida nikitenda dhambi huwa naandikaga mahala ili kuepusha adha ya kusahau ili mwisho wa mwezi nikaungame kwa padre. Sasa ile karatasi ya mwezi uliopita imepotea nimetafuta hadi nimechoka. Sasa wasi wasi wangu ni je kaikota nani? Na najua mazingira ya upotevu ni ya nyumbani kwangu, siitokagi na hio dossier ya dhambi nje ya nyumba yangu labda siku naenda kuungama.
Mazingira kama haya mtu unafanyaje?