Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Mkuu,
Ulikuwa unatuza kumbukumbu za dhambi au mapito yako ili usije kusahau njia zako??
Anyway...tayari umeshavua na huna budi kuingia bafuni...hata kama baridi iko kwenye hasi.....Tulia tu na usubiri kunyolewa kama hicho kidesa kimemfikia Afande Shimbo!
Babu DC!!
Ulikuwa unatuza kumbukumbu za dhambi au mapito yako ili usije kusahau njia zako??
Anyway...tayari umeshavua na huna budi kuingia bafuni...hata kama baridi iko kwenye hasi.....Tulia tu na usubiri kunyolewa kama hicho kidesa kimemfikia Afande Shimbo!
Babu DC!!