Naombeni Ushauri kuna mtu amenitishia

Naombeni Ushauri kuna mtu amenitishia

Joined
Dec 13, 2023
Posts
88
Reaction score
343
Wakuu kwema.

Nimekuwa nikiishi kwa amani sana mpaka pale nilipoenda kupanga mtaani,
Kuna mpangaji mgeni ila inaonekana yeye ni mwenyeji hapa mtaani , ni mvutaji bangi mkubwa mno, utulivu hakuna.

Juzi natoka zangu kampas nakuta mtu kanisubiri akisema nimeiba kitu chake ambacho hata mimi sikijui kwakweli,
Kaukuza ugomvi anasumbua sana.
Nasasa kasema atanifanya kitu kibaya kwakweli amekuwa akinitishia sana, ukizingatia pia jamaa ana magenge ya wavuta bangi wenzake, na wala huwezi kuzungumza naye akakuelewa anapiga kelele tu.

Wakuu naombeni msaada wa kimawazo, sijawahi kutishiwa hivi, Siwezi kuhama kwasababu nimelipa kodi ya miezi nane pia sina hela. Siwezi kuishi nahofia usalama wangu hivi
 
Wakuu kwema.

Nimekuwa nikiishi kwa amani sana mpaka pale nilipoenda kupanga mtaani,
Kuna mpangaji mgeni ila inaonekana yeye ni mwenyeji hapa mtaani , ni mvutaji bangi mkubwa mno, utulivu hakuna.

Juzi natoka zangu kampas nakuta mtu kanisubiri akisema nimeiba kitu chake ambacho hata mimi sikijui kwakweli,
Kaukuza ugomvi anasumbua sana.
Nasasa kasema atanifanya kitu kibaya kwakweli amekuwa akinitishia sana, ukizingatia pia jamaa ana magenge ya wavuta bangi wenzake, na wala huwezi kuzungumza naye akakuelewa anapiga kelele tu.

Wakuu naombeni msaada wa kimawazo, sijawahi kutishiwa hivi, Siwezi kuhama kwasababu nimelipa kodi ya miezi nane pia sina hela. Siwezi kuishi nahofia usalama wangu hivi
We mfate muulize vizuri ujue shida nini, mweleweshe tuu atakuelewa, unaweza kupotezwa kweli .
Wakati huo umeshatoa taarifa police ila wasiende kumbana moja kwa moja kabla wewe haujaongea nae
 
Toa taarifa kwa mwenyekiti, Mtendaji, na Police, ataitwa, kama Bado atadhihirisha ukichaa wake, Hama hapo, okoa nafsi yako, never deal with stupid people!

Ila kuna kitu hujaeleza, kila nilopokaa wakati ni kijana, wavuta Bangi ukiacha udokozi dokozi, ni watu wema sana na WA Amani kama utakuwa hujapishana nao!
 
Anayefanya jambo hasemi.......

Stand your ground as man......

Hivyo ndivyo dunia ilivyo....utashtaki wangapi.......

Huyo jamaa amekuleta kwenye dunia ya wanamume.....na ili uwe mwanaume lazima uivuke mitihani ya kiume......

Kaa kiume kaa tayari kwa mapambano....usiruhusu nafsi ya woga kujenga mizizi kwenye kifua chako.....

Dunia ni katili sana kwa wanaume waoga na wazembe.......
 
Wakuu kwema.

Nimekuwa nikiishi kwa amani sana mpaka pale nilipoenda kupanga mtaani,
Kuna mpangaji mgeni ila inaonekana yeye ni mwenyeji hapa mtaani , ni mvutaji bangi mkubwa mno, utulivu hakuna.

Juzi natoka zangu kampas nakuta mtu kanisubiri akisema nimeiba kitu chake ambacho hata mimi sikijui kwakweli,
Kaukuza ugomvi anasumbua sana.
Nasasa kasema atanifanya kitu kibaya kwakweli amekuwa akinitishia sana, ukizingatia pia jamaa ana magenge ya wavuta bangi wenzake, na wala huwezi kuzungumza naye akakuelewa anapiga kelele tu.

Wakuu naombeni msaada wa kimawazo, sijawahi kutishiwa hivi, Siwezi kuhama kwasababu nimelipa kodi ya miezi nane pia sina hela. Siwezi kuishi nahofia usalama wangu hivi
Nenda karipoti kituo karibu cha Polisi, hakuna ushauri mwingine zaidi ya huu
 
Anayefanya jambo hasemi.......

Stand your ground as man......

Hivyo ndivyo dunia ilivyo....utashtaki wangapi.......

Huyo jamaa amekuleta kwenye dunia ya wanamume.....na ili uwe mwanaume lazima uivuke mitihani ya kiume......

Kaa kiume kaa tayari kwa mapambano....usiruhusu nafsi ya woga kujenga mizizi kwenye kifua chako.....

Dunia ni katili sana kwa wanaume waoga na wazembe.......
Huyo jamaa ni mvuta bangi na ana magenge yake sasa hapo mkuu nakaaje na amani
 
Naweza kumsema then polisi wakampa onyo tu , kwa maelezo yake anadai hana familia wala ndugu anaweza ondoka muda wowote hapo akifanya uhalifu, sasa naweza kwenda polisi ndio nikachochea jamaa akatoweka
Mh! ila hebu ngoja kwanza mkuu unaweza kutupa picha yako maana mpaka mvuta bangi kukushuku kuwa umemuibia huenda kukawa na kitu cha ziada!..😂

by the way kuwa makini bangi hupindua watu akili japo wavuta bangi hujiona wapo sawa!, hapo kwa ulinzi wako binafsi anza nawewe kuwa unatembea na siraha!, usikubali ukaporochoka kirahisi!.
 
Mh! ila hebu ngoja kwanza mkuu unaweza kutupa picha yako maana mpaka mvuta bangi kukushuku kuwa umemuibia huenda kukawa na kitu cha ziada!..😂

by the way kuwa makini bangi hupindua watu akili japo wavuta bangi hujiona wapo sawa!, hapo kwa ulinzi wako binafsi anza nawewe kuwa unatembea na siraha!, usikubali ukaporochoka kirahisi!.
Ila KENZY 😅
 
Mh! ila hebu ngoja kwanza mkuu unaweza kutupa picha yako maana mpaka mvuta bangi kukushuku kuwa umemuibia huenda kukawa na kitu cha ziada!..😂

by the way kuwa makini bangi hupindua watu akili japo wavuta bangi hujiona wapo sawa!, hapo kwa ulinzi wako binafsi anza nawewe kuwa unatembea na siraha!, usikubali ukaporochoka kirahisi!.
Sawa mkuu , Asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom