- Thread starter
- #101
Usije kuzimia siku ya harusi dada yako akiibua zengwe kanisani kuwa ana mimba ya huyu mchumba wako! Muhimu kwenye kamati ya maandalizi msisahau kuweka budget ya kuwalipa FFU ili wakae standby dada yako akileta za kuleta wamvurumishie mabomu ya machozi maana anaonekana ni hatari kwa usalama wa ndoa yako! Halafu kaa chini na mama yako umuulize vizuri akuambie kama kweli dada yako ni mtoto wa baba kweli maana haiwezekani awe na tabia za broiler wakati yeye ni wa kienyeji!
hahahahaha umenichekesha ila umeonge point sana, yeye mwenyewe dada anadai mama yake siyo huyu eti kuna sehemu kaambiwa hivyo, ila kuhusu swala wa wazazi ni kweli wazazi ni wetu wote tena ni original, ila kwa kuwa mama yuko upande wangu kwa sasa ndiyo nae anaambiwa kuwa haja mzaa ila amemlea tuu. huwa tuna kaa kimya tuu, kuhusu ndoa wengi wamezoea ndoa jioni mimi yangu kumuhofia huyo itafungwa asubuhi, ila kiukweli inabidi kazi ya ziada ifanyike kumuweka sawa