Naombeni ushauri kuhusu kushea biashara na mtu

Naombeni ushauri kuhusu kushea biashara na mtu

Desierto

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
847
Reaction score
2,954
IMG_20260219_202943_913.jpg


Nimepata mdau ameniomba aweke mtaji kwenye ofisi yangu kesho ndo nataka nikamsikilize.

Ila ni kuongeza bidhaa ofisini

Mm plani yangu ni kama ataongeza mtaji basi nilitaka nimwambie mtaji wake tuweke kwenye simu ndogo za batani radio za kuchajisha na sabufa zisizo zidi Bei ya 120
Na bidhaa completel mfano majagi pasi za umeme NK. Ila mm nibaki na kuuza tu vifaa mfano hapo kwenye picha.

Sasa wadau naomba mnipe mawazo je nifanye naye maongezi au nitemane naye tu.

Maana muuzaji nakuwa mm na faida tutagawanaje mfano labda iteli ndogo tumenunua 24 halafu tukauza 30 faida inakuwa ni 6000 je mgao utakuwaje hapo? Ofisi ni yangu na Kodi nalipa mm.

Ni mdada kwa mwonekano ni watu wanaojitambua.

Je? Ni mwekee kiwango gani Cha mtaji Cha kuanzia kisiwe chini ya kiasi Fulani?

Hili wazo kwangu pia naliona kama sio baya sababu maduka kadhaa mjini naonaga Kuna vijana wanauza au kufanya kwa pamoja.

Je nifanye taratibu zipi ili ukitokea usumbufu mbele labda usijekuniathiri pia kwenye ofisi yangu?
 
Fanya kile ambacho moyo wako una amani ,usilazimishwe kufanya chochote. Pili kama ukiingia nae makubaliano,hakikisheni mkataba unaandaliwa na mwanasheria,usifanye makubaliano ya mdomo. Mwanasheria aandae makubaliano na kila kitu kuhusu makubaliano hayo kitajwe kwenye mkataba,hata kimoja kisiachwe
 
View attachment 3550790

Nimepata mdau ameniomba aweke mtaji kwenye ofisi yangu kesho ndo nataka nikamsikilize.

Ila ni kuongeza bidhaa ofisini

Mm plani yangu ni kama ataongeza mtaji basi nilitaka nimwambie mtaji wake tuweke kwenye simu ndogo za batani radio za kuchajisha na sabufa zisizo zidi Bei ya 120
Na bidhaa completel mfano majagi pasi za umeme NK. Ila mm nibaki na kuuza tu vifaa mfano hapo kwenye picha.

Sasa wadau naomba mnipe mawazo je nifanye naye maongezi au nitemane naye tu.

Maana muuzaji nakuwa mm na faida tutagawanaje mfano labda iteli ndogo tumenunua 24 halafu tukauza 30 faida inakuwa ni 6000 je mgao utakuwaje hapo? Ofisi ni yangu na Kodi nalipa mm.

Ni mdada kwa mwonekano ni watu wanaojitambua.

Je? Ni mwekee kiwango gani Cha mtaji Cha kuanzia kisiwe chini ya kiasi Fulani?

Hili wazo kwangu pia naliona kama sio baya sababu maduka kadhaa mjini naonaga Kuna vijana wanauza au kufanya kwa pamoja.

Je nifanye taratibu zipi ili ukitokea usumbufu mbele labda usijekuniathiri pia kwenye ofisi yangu?
Achana na hizo mambo
 
View attachment 3550790

Nimepata mdau ameniomba aweke mtaji kwenye ofisi yangu kesho ndo nataka nikamsikilize.

Ila ni kuongeza bidhaa ofisini

Mm plani yangu ni kama ataongeza mtaji basi nilitaka nimwambie mtaji wake tuweke kwenye simu ndogo za batani radio za kuchajisha na sabufa zisizo zidi Bei ya 120
Na bidhaa completel mfano majagi pasi za umeme NK. Ila mm nibaki na kuuza tu vifaa mfano hapo kwenye picha.

Sasa wadau naomba mnipe mawazo je nifanye naye maongezi au nitemane naye tu.

Maana muuzaji nakuwa mm na faida tutagawanaje mfano labda iteli ndogo tumenunua 24 halafu tukauza 30 faida inakuwa ni 6000 je mgao utakuwaje hapo? Ofisi ni yangu na Kodi nalipa mm.

Ni mdada kwa mwonekano ni watu wanaojitambua.

Je? Ni mwekee kiwango gani Cha mtaji Cha kuanzia kisiwe chini ya kiasi Fulani?

Hili wazo kwangu pia naliona kama sio baya sababu maduka kadhaa mjini naonaga Kuna vijana wanauza au kufanya kwa pamoja.

Je nifanye taratibu zipi ili ukitokea usumbufu mbele labda usijekuniathiri pia kwenye ofisi yangu?
Swali wewe ndie unahitaji mshirika au yeye ndio ametaka awe mshirika na wewe?
 
Maana muuzaji nakuwa mm na faida tutagawanaje mfano labda iteli ndogo tumenunua 24 halafu tukauza 30 faida inakuwa ni 6000 je mgao utakuwaje hapo? Ofisi ni yangu na Kodi nalipa mm.
Je wewe una uhitaji wa kuongeza huo mtaji kwa sasa? Duka lako lina demand ongezeko la mtaji kwa sasa?

Biashara ikiwa ndogo mtaelewana sana na huyo muwekezaji, BUT mkishaanza kuingiza hela, NAKUHAKIKISHIA ni lazima mtagombana, Narudia tena ni LAZIMA mtagombana.

Kama hakuna ulazima sana wa kushirikiana ni bora uendelee taratibu kukuza mtaji au akupe kama MKOPO then utamlipa kwa riba mtakayokubaliana.

Jifunze KUJITEGEMEA, hili litakuepusha na kurudishana nyuma pasipo sababu za msingi.

Be a Man, stay Taliban.
 
Mzee hujapiga hesabu vzr, naona tu uko desperate kuongeza mtaji na si kingine! Ushauri wangu, kuza mtaji wako taratibu achana na mambo ya kushea!" Ama la mwambie akukopeshe pesa umlipe, ila sio kushea mtaji..... chonde chonde, naongea kwa uzoefu
 
Ni mdada kwa mwonekano ni watu wanaojitambua.
Aisee,
mfano labda iteli ndogo tumenunua 24 halafu tukauza 30 faida inakuwa ni 6000 je mgao utakuwaje hapo? Ofisi ni yangu na Kodi nalipa mm.
Hakuna mgao hapo, yote ni yake.
Siku akikutega akakulisha mzigo na kuifinyia ndani vizuri, biashara nzima utamkabidhi iwe yake
 
Back
Top Bottom