cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
A girls always deep down in prayers pleading to the Almighty God for the Super Loving Husband.... Mimi naona hapa tatizo ni mwanamke kumpenda mwanamme ambaye hakupendi. Ni rahisi kugundua! If a man can't even call you once in a day let alone meeting you in month (nafikiri binti atatafutwa wakati jamaa atataka kumaliza shida zake za ulijali) jua kwamba hauko moyoni mwake, tafuta hamsini nyingine.
Sasa katokea njemba nyingine ni 45 yrs old.. what in the name of God was this man waiting for in order to get married? Miss / Mrs Right? Au alikuwa shule ndo kamalizia Phd yake. a lot has to be scrutinised au ndo kafiwa na wanawake labda wengi ambao hakuwahi kuzaa nao? There must be a very good convincing reason as to his delay to get married.
Ila ukichunguza saana kuku hutomla. Don't let this new man get what it takes to be the 'nuclei of marriage happiness' (msibanjuane) before marriage. Jitangazeni koote na uone if this new mchumba doesn't 'chicken out' of the uchumba. OTHERWISE age doesn't count in marriage.
I got married at 48 to the girl of 30. We have three children now and we are happy.
nimependa ushauri wako!