bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
thx dia so kwako umri huo si tatizo eti eeeeeeeeh?
umri jamani tusione kama sio kikwazo kiivyo,tukubali na ukweli tu!tofauti ya umri ikizidi sana ni kiwazo katika mahusiano kwani mnakuwa mnapishana mengi kimtazamo!matokeo yake ndo kama hivyo, unaolewa na kibabu na bado unatafuta mtu wa kukumalizia hamu yako ya ngono nje!