Naombeni ushauri: Ananiacha kisa sijui kusex

Naombeni ushauri: Ananiacha kisa sijui kusex

dada hiii ni promo pm yako itajaa mabazazi huku ni wengi kusikia tuu bikira wanachanganyikiwa

jitunze hiyo ndo zawadi ya kumpa mumeo,achana nae wala usifikirie huyo anataka kukutoa bikira tu hana lengo na wewe
usimtishe mwenzio, housegirl wa watu katokea Iringa hajui chochote mnataka kumtisha hapa
 
Nianze kwa kukupa pole kwa kuumia na kuteseka na penzi,i kwanza huyo m2 hana mapenzi na wewe pili huyo cmme wa ndoa sasa kama unataka umvulie kwakua unampenda sawa ila hapo ndoa haipo.mimi nikushauli kwamba tulia tafuta mwanaume mwenye busala na heshima na mwenye mapenzi na ww hakika utafulahia maisha
 
Umejuaje hujui sex wakati bado bikra. Kweli biashara matangazo.
 
Huyu kaka nia yake ilikua ni kukutoa usichana wako. Pengine ulimtangazia kuwa wewe hujaguswa naye alitaka kuwa wa kwanza. Mapenzi ya dhato ni zaidi ya kujamiiana!
*Afu binti umejitunza sana; kwanini ukubali kufanya ngono uzembe ilihali unajua kuna vituo wanapima tena buree? Inamana ukipima sasa ukakuta una gonjwa lolote la STD( Mungu pishilia mbali UKIMWI) utafanyaje? Hapo utakua umekosa mengi zaidi ya penzi. Kapime kwanza na ukijikuta upo safi basi uwe makini next time. Wanaoambukizwa wanapata kwa jinsi hii hii hakuna ingine.

Eva
Hao unakuta hata wanawatorto nje bikira labda ya kizenj
 
unaishi mkoa gani mamii??

unajua siku hizi bikira zina-behave kulingana na mikoa tunayoishi!!

hahaha kweli kabisa za kweli ziko katavi huko, bongo haziko ziliisha isha baada ya baba wa taifa kufariki, mshikaji anajua unamzingua na bikira feki
 
Nilivyoona kichwa cha habari cha hii thread nikajua itakuwa na majibu ya kila aina. Aisee watu wamepinda.
 
Huyu siyo mchumba ni pepo mchumba gani anaogopa kupima siku ukimpa tamu hutamuona tena wala hutamuona subiri hujapata mchumba bado.
 
mdada kuwa makin na afya yko....hata kma unampnda vp ucjeukakubal kusex nae bila kupima, au kama vp achana nae mbna wanaume wako wng tu
 
mkuu unajua nimemtambuaje? hakubadili avatar... sasa nikabaki nashangaa mbona huyu ni mrembo fulani hivi aliyekuwa akinitishia maisha kwa bambataa? lols!

basi nikawa namvutia uzi mdogo mdogo, hatimae nikamvuta ndani rum bana!.. lols!

cc. Rapunzel


Hata kuku awe mjanja vipi. lazima jioni arudi bandani...mkuu, kuku wako huyo karudi kitofauti.
 
Huyo mpuuzi anakudanganya ili akudhoofishe kimsimamo ili umpe uchi na
kwa jinsi navyoona amekuwa akijaribu kukubikiri kwa muda mrefu bila
mafanikio ndio maana anakutesa kwa kauli ili umwachie uchi au ufanye
yale ayatakayo kitandani.
Cha kukushauri, achana nae kwani hajatulia na ni mhuni, jitunze upate
mtu atakaekuheshimu. Usiponisikiliza ukampa penzi atakuacha kama
inavyachwa tabia mbaya na hutaamini! Believe it!


Usipofuata ushauri huu utajuta sana
 
Sasa hivi nikiongea na mtz mwenzangu nakuwa makini sana kumsikiliza, tumekuwa waongo sanaaa!! hamna bikra wala nini, jiji limekuwa gumu...
 
Hata kuku awe mjanja vipi. lazima jioni arudi bandani...mkuu, kuku wako huyo karudi kitofauti.

hahahaaaaa!!! afu badala ya kukana kuwa si yeye, badala yake kakubali kila kitu!..

ila mkuu mi sina neno nae bana, wala sisubiri simu kutoka kwake wala nini! .. lols
 
hahahaaaaa!!! afu badala ya kukana kuwa si yeye, badala yake kakubali kila kitu!..

ila mkuu mi sina neno nae bana, wala sisubiri simu kutoka kwake wala nini! .. lols
Ntaongea na moderator anitumiea PM zako nihakiki hili...hahahaha
Amenifurahisha alivyokubali haraka...nkajiuliza yale maswali ya haraka haraka.........ambayo siyo busara kuyaandika.
 
hahahaaaaa!!! afu badala ya kukana kuwa si yeye, badala yake kakubali kila kitu!..

ila mkuu mi sina neno nae bana, wala sisubiri simu kutoka kwake wala nini! .. lols

We dawa yako iko jikoni naiandaa subiri tu....
 
Back
Top Bottom