Rapunzel
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,079
- 601
Kizuri kula na ndugio ati....
Last edited by a moderator:
mkuu unajua nimemtambuaje? hakubadili avatar... sasa nikabaki nashangaa mbona huyu ni mrembo fulani hivi aliyekuwa akinitishia maisha kwa bambataa? lols!
basi nikawa namvutia uzi mdogo mdogo, hatimae nikamvuta ndani rum bana!.. lols!
cc. Rapunzel
Hata kuku awe mjanja vipi. lazima jioni arudi bandani...mkuu, kuku wako huyo karudi kitofauti.
Ntaongea na moderator anitumiea PM zako nihakiki hili...hahahaha
Amenifurahisha alivyokubali haraka...nkajiuliza yale maswali ya haraka haraka.........ambayo siyo busara kuyaandika.
Mh..haya. excel anazali, wengine kama tumelala na bundi..Sina ujanja kurudi must na kamba yangu mguuni ,c utanipokea hun eee
Inabidi yule dada aliyeniamsha leo kavaa khanga moja na kuniacha namawazo, aje tena kesho....Naona nyota iko vizuri.
Na hili zali lipate season two..Hahahaha...Itabidi aje kila siku huyo ili asimamishe mnala vizuri..
Na hili zali lipate season two..
Nsije nkawekeza huko, zikienda mpaka six nadhan kuna hatari ya kurudi nyumbani kichwa chini.Kwa jinsi network ilivyokamata 5G ,season two haitoshi iwe at least 6
Nsije nkawekeza huko, zikienda mpaka six nadhan kuna hatari ya kurudi nyumbani kichwa chini.
Mh..na hiyo signature yako...hapa kweli kigooomaUsiogope my new mpnz,sweet,habibi ooh laaziz yote majina yako ntafute nikupe somooo
sauti yako tu mama!... nahisi nafunga madirisha na kuzima taa!.. dah!wanana..wanakula..hawaliii.. sasa wamevimbiwa. hao hao hao hao sasa wamevimbiwaa..(naimba tu)
Mwache aende zake wewe sio sex machine,,,,, na kajuaje hujui kusex wakati we bikra!!!!!!!!
asante kwa maoni mamii, nimeyaweka local disk D kwa matunzo zaidi... jaa PM tuongee vizuri! sawa sweetness?Kizuri kula na ndugio ati....