Naombeni solution

Naombeni solution

Mimi saivii sipendii story na watu, nipo very low, sina furaha, nakua mpole sanaa.

Win one aliwai kuona picha yangu selfika NIMEKUA MPOLEEE,

For real , Mimi Huwa na aminiwa na wengi for sure hata humu mtu yeyote akiniona physically ananiamini na sijawai kuvunja Imani kwa wowote walio niaminii
Aww thats so sweet of you!😍

Naomba namimi unibless dokta!

Kumbe win-one una siri hivi🤔
 
Naomba utumie Attitude ya namesake wako. Levi Ackerman jinsi alivyokua akihandle matatizo richa ya kua ndie mwenye umbo dogo kuliko wote
Nahisi little eren yieger ananifaa zaidi mana nna self conflict between just do it they don't care, and don't do it they will talk about it.
 
Aww thats somsweet of you!😍

Naomba namimi unibkesa dokta!

Kumbe win-one una siri hivi🤔
Nimelewa nipo kwenye moja ya nyumba za mzee nipo alone humu nalala peke angu sipo chumbanii nalala sebuleni kwenye sofa , dogo yupo kasepa kaenda kulala kwingine Mimi muoga huyo nimevaa shati la baba angu hapa.

For sure Mimi na asili ya uoga uoga sijui kwa nini..

Hata UJINGA UJINGA mwingi wa ujana sijawai kuufanya ni mtu wa principal na mfano wa kuigwa
 
Then activate attitude ya Armin.
Ujue hii hali I inataka iwe chronic.
Kuna time hua nawaza sana na hali hii nliyo nayo hivi ntaweza kumkemea mtu kuhusu swala flani baya ambalo anaweza akafanya?.

Naweza kumuongoza mwanamke ipasavya na kua supportive .?

Naweza kurun mradi mzito na nikawa mtu nnae tegemewa kimawazo na watu wengine?

Naweza kuwa bora zaidi kuliko siku zilizo pita kama tu nashindwa kukeep conversion?

This situation real drive me insane.
I real want to change my self .
 
Nimelewa nipo kwenye moja ya nyumba za mzee nipo alone humu nalala peke angu sipo chumbanii nalala sebuleni kwenye sofa , dogo yupo kasepa kaenda kulala kwingine Mimi muoga huyo nimevaa shati la baba angu hapa.
Dah pole mkuu urudi tu nyumbani

Umenikumbusha rafkiqngu walikuwa wanamfunga shati la babaake kiunoni dahh😢
For sure Mimi na asili ya uoga uoga sijui kwa nini..

Hata UJINGA UJINGA mwingi wa ujana sijawai kuufanya ni mtu wa principal na mfano wa kuigwa
Mimi si muoga!

Ujinga mwingi ndio kama nini doc? Ni vizuri kusikia wanao wafuate nyayo zako😍
 
Dah pole mkuu urudi tu nyumbani

Umenikumbusha rafkiqngu walikuwa wanamfunga shati la babaake kiunoni dahh😢

Mimi si muoga!

Ujinga mwingi ndio kama nini doc? Ni vizuri kusikia wanao wafuate nyayo zako😍
In short UJINGA UJINGA kinyume chake MIMI NI GOOD BEHAVED PERSONAL
 
Habari wana JF .

naombeni solution ya kuondoa social anxiety na kuimprove social communication, napoteza vitu vingi sana Especially real connection , kwasababu tu ya kua na ile anxiety ya what if ?

Pole sana Levi kwa changamoto unayopitia, ni jambo linalowakumba watu wengi na ni muhimu sana kulizungumzia waziwazi kama unavyofanya hapa. Ni kweli, hiyo hali ya "what if?" inaweza kukufanya upoteze fursa nyingi na hata kukuogopesha kuhusu uwezo wako wa baadaye, kama vile kuweza kumkemea mtu, kuongoza mwanamke, au kurun mradi. Ni vizuri umeona mapema na unataka kulishughulikia.

Lakini usikate tamaa kabisa, kwa sababu hili ni jambo linaloweza kushughulikiwa na kuboreshwa kwa kiasi kikubwa! Hali ya social anxiety na changamoto za mawasiliano ni kama misuli inayohitaji mazoezi.

Hapa kuna mawazo machache ambayo yanaweza kukusaidia kuanza:

1. Anza na hatua ndogo: Badala ya kuwaza kumkemea mtu au kurun mradi mkubwa mara moja, jaribu kuanza na mazungumzo mafupi na watu unaowaamini au unaojisikia huru nao. Hata kama ni kusema 'habari' tu, kuuliza swali dogo, au kutoa maoni mafupi kwenye kundi. Kila hatua ndogo inajenga ujasiri.
2. Jikite kwenye 'what is?' badala ya 'what if?': Wakati unajihisi unazidiwa na mawazo ya "what if?", jaribu kujikita kwenye uhalisia wa sasa. Unaweza kujiuliza, "Ni nini hasa kinaendelea sasa hivi?" na "Ninaweza kufanya nini kwa sasa?" Hii husaidia kupunguza hofu ya yasiyojulikana.
3. Jifunze kusikiliza zaidi: Wakati mwingine, kuanza kwa kuwa msikilizaji mzuri kunaweza kukupunguzia presha ya kuongea. Sikiliza kwa makini kile wengine wanachosema, na ukiwa tayari, unaweza kuuliza maswali yanayohusiana au kutoa maoni mafupi.
4. Kumbuka, mawasiliano ni ujuzi: Kama ujuzi mwingine wowote (kama kuendesha gari au kucheza mpira), unahitaji kujifunza na kufanya mazoezi. Hakuna anayezaliwa akiwa na uwezo kamili wa mawasiliano. Kadiri unavyojifunza na kufanya mazoezi, ndivyo unavyokuwa bora zaidi.
5. Jipe muda na usijihukumu sana: Kila mtu anapitia changamoto zake. Kuwa mpole kwako mwenyewe na usitarajie mabadiliko makubwa kutokea mara moja. Kujitambua na kutaka kubadilika tayari ni hatua kubwa sana.
6. Tafuta msaada wa kitaalamu (kama unahisi inakulemea): Kama unahisi hali hii inakulemea sana na inakuzuia kuishi maisha unayotaka, usiogope kutafuta msaada wa mwanasaikolojia au mtaalamu wa ushauri nasaha. Wanaweza kukupa mikakati na zana mahsusi za kukusaidia kushughulikia anxiety na kuboresha mawasiliano.

Uko kwenye njia sahihi kwa kulizungumzia hapa. Jipe muda na usikate tamaa. Utashangaa jinsi unavyoweza kubadilika na kujiamini zaidi kadiri unavyojitahidi! Tuko pamoja kukupa moyo.


-----_
..... Yaani JF AI y hujaweka kimombo zaidi kama alivyoandika mix mix...au...😅😅😅 Ila kuna majibu mengine mngeachia ilete ya mtandaoni pia atakayejaribu atajua inamaanisha nini.. Kama mmeibanaaaaa... 🙄
 
Moja ya matibabu ya kisaikolojia yanaitwa exposure. Yaani kukabiliana na kitu unaogopa. So jiexpose kwenye social situations. Nenda church/msikitini, nenda kacheki mpira kibandani au uwanjani. Tembelea vijiwe vya draft, nenda beach nk nk.
Asante mkuu
 
Back
Top Bottom