Yani wote tunasoma na kuishia kusema pole tu jamani?Naamini wengi wana uwezo wa kumsaidia chochote, tumtumie hata 2,000 tu kila mmoja itafanya kitu.Atakaeweza kutuma zaidi amtumie.
Pole mamii, Mungu ni mwema, uwe na imani na kesho utakua Same.
Unajua naweza kku2mia but ukaja uka2mia tena kwa mambo mengine na ukawa haujafikia lengo lako la kuondoka dar ndio maana nimekuambia hivyo ili nikiku2mia uende kukata tkt moja kwa 1 c unajua hela ukiwa nayo haikoc ma2miz?
Hakuna hata dalili ya kuipata ndugu yangu ujue kama una chochote mkononi hata wenye basi unaweza kuwalilia wakanisaia ila sina hata pakuanzia.Nakuomba nianzishie ndugu yangu.
Yani wote tunasoma na kuishia kusema pole tu jamani?Naamini wengi wana uwezo wa kumsaidia chochote, tumtumie hata 2,000 tu kila mmoja itafanya kitu.Atakaeweza kutuma zaidi amtumie.
Pole mamii, Mungu ni mwema, uwe na imani na kesho utakua Same.
Unajua naweza kku2mia but ukaja uka2mia tena kwa mambo mengine na ukawa haujafikia lengo lako la kuondoka dar ndio maana nimekuambia hivyo ili nikiku2mia uende kukata tkt moja kwa 1 c unajua hela ukiwa nayo haikoc ma2miz?
Kama huyu ni mumeo wa ndoa umejaribu kuripoti kwa washenga wenu au hamkuwa na wasimamizi? na je kama simu yake inapatikana umeripoti ustawi wa jamii maana ana jukumu la kutoa matumizi yake ?
Kama huyu ni mumeo wa ndoa umejaribu kuripoti kwa washenga wenu au hamkuwa na wasimamizi? na je kama simu yake inapatikana umeripoti ustawi wa jamii maana ana jukumu la kutoa matumizi yake ?
Bac ucjal nikitoka kazin nitakuchek ucjal kama unatambua xhida uliyokua nayo maana mwingine waweza kum2mia akaenda kufanyia mambo mengine na na lengo unakuta halijatimia
Bac ucjal nikitoka kazin nitakuchek ucjal kama unatambua xhida uliyokua nayo maana mwingine waweza kum2mia akaenda kufanyia mambo mengine na na lengo unakuta halijatimia
Nahitaji msaada kiukweli kwa maana nina shid ya ukweli hata akinikatia tiketi na kuniingiza kwenye basi la Same niko tiari ili apate kuamini kwamba wapo wenye shida kweli na matapeli.