Naombeni msaada wa ushauri jamani

Naombeni msaada wa ushauri jamani

Tena mwambie asiwe anaenda kwa jamaa bila taarifa anaweza kukuta magumu zaidi chumbani kunako 6/6!
Wanawake mmezidi kuwa ving'ang'anizi sana papuchi yako kwann ujirahisi namna hiyo?

Duuuuuu
 
ImageUploadedByJamiiForums1395567269.364721.jpg
 
Hakuna mapenzi hapo anamtumia tu, atakuja kusikia huyo kaka kaoa.
Yaani aanze kutafuta maisha mapya bila ya huyo mwanaume.
 
Rafik ako inaonyesha ana stress za kuacha coz anakarbia danger zone
ushaur wangu:

kama haypo happy na mahusiano na uyo man its better akafnya maisha yake peke mwenyew na atapat m2 atakayempenda zaid
na kama bado anampenda huyo man muambie awe jelousless asiogpe kuumizwa

I ALWAYS SAYS;
TIME IS THE GREAT HEALER
 
Hii ni kwa wewe, rafiki yako na wanawake wote. Mwanaume kuwa na mpenzi mmoja HAIWEZEKANI. Jifunzeni kuchangia kama walivyokuwa wakifanya bibi zetu.
 
Hakuna mapenzi hapo anamtumia tu, atakuja kusikia huyo kaka kaoa.
Yaani aanze kutafuta maisha mapya bila ya huyo mwanaume.

Mapenzi bila kutumiana HAIWEZEKANI. Mfano mzuri ni katika uzi huu, gari la mwanaume, mafuta kalipia mwanaume, kupanda wamepanda wote na gharama za kutoka kalipia mwanaume. Hapa mwanaume katumika kiuchumi, baadaye mwanamke atatumika ki.....?
 
Kwanza salamu ama baada ya salamu watu wa JF!

Nina rafiki yangu ana matatizo na boyfnd wake, naombeni mnisaidie jmn nimshauri nini maana nabaki njia panda!!!
Huyu dada ana mchumba ambae wapo kwenye mahusiano almost 4 yrs now,ila huyu kaka Ana mwanamke mwingine ambae wamezaa nae ,n the guy alimwambia huyo rafiki yangu Kua walishindwana na mama mtoto wake hvyo now wanalea tu mtoto!
Lkn huyu dada Mara nyingi ananijia na kesi Mara amekuta sms ya yule mama mtt kwenye cmu ya mshkaji,(sms za mapenzi),Mara mama mtoto amefungasha anataka kuhamia kwa mshikaji,Mara aambiwe maneno na watu Kua wanaendelea na huyo mama mtt wake bac tafrani yaan huyo mama mtt anakosesha Amani shoga yangu,lkn mshikaji kila cku amekua akimhakikishia Kua anampenda na acwe na wacwac.

Sasa Jana bwana ametoka kazini akaona apitie kwa mpz kweli akamkuta wakatoka kwenda dinner,waka pitia Sheli ili kuweka mafuta,walipofika Sheli Yule mkaka akatoa walet ili atoe pesa kwa ajili ya kulipia mafuta,alipomaliza akweka walet pale kwenye redio kwa chini walet ilikua haijafungwa mhhh Yule best yangu kuchungulia akakuta picha ya huyo mama mtt,ya mshikaji ,ya mtt wao ,ya mama mkwe,na ya x Galfnd wacku nyingi wa mshikaji,ya kwakwe yy hakuna.
Akauliza vp hizi picha zinasubiri nn kwenye walet yako,jamaaa anaaanza kujikanyaga , shoga angu aka endelea kuuliza akiwa serious sasa jamaa baada ya kuona amezidiwa akaanza kumuwakia na kumpiga,

Is this fear jmn ,mtu umekosa bado unampiga mwenzie,top of that anaanza kumtukana na matuc cjui huyo rafiki yangu malaya ndo maana a natafuta sbb ya kumuacha,shogaa angu Amelia ata kula ameshindwa Jana ucku hawezi chochote nimsaidieje jmn!!!!nimshauri avumilie tu kwa mshkaji maana anampenda kweli mwanaume wake!!!

Poleni kwa uandishi wangu its ma first tym napost so co mzoefu sana ktk uandishi!!!!

yeyote amwachae mke wake na kuoa mwigine hakika azini:limekuja tu sijui ni kifungu gani katika biblia
 
Hii ni kwa wewe, rafiki yako na wanawake wote. Mwanaume kuwa na mpenzi mmoja HAIWEZEKANI. Jifunzeni kuchangia kama walivyokuwa wakifanya bibi zetu.

Hiiii Kali kwaiyo ata wangu atakua na mwingine!!!uwiiii ni vyema akafanya kwa heshima bac co mpk mm nijue!!!
 
Ni kuvumilia au aondoke uzito anaujua yeye mwenyewe na maumivu anayapata mwenyewe kwa nini yupo anajua mwenyewe kwa ujumla nilichoona kwenye mapenzi anayekupenda humpendi asiyekupenda unampenda so kuumia ni lazima mi nimekaa kando kidogo labda Kuna kitu sielewi kwenye Aya mambo so nikusoma na mazoezi yatosha mpaka wakati utakapofika.mpe pole sna kuumiza na kuumizwa imekuwa sehem ya maisha n no body care .
 
Kama anampenda mshikaji basi wayaongee kikubwa na sio kuwaka bila sababu za msingi, above all mwimbie ajiamini
 
Hiiii Kali kwaiyo ata wangu atakua na mwingine!!!uwiiii ni vyema akafanya kwa heshima bac co mpk mm nijue!!!

Habari ndiyo hiyo, tunafanya kwa heshima, tatizo ni huku kukaguliwa kwenye simu na maswali ya kizushu ya mara kwa mara. Bibi zetu hawakuwa na kitu cha kuwapa fununu kama zilivyo simu na vyombo vingine vya mawasiliano. Mwanamke ukitaka kufaidi penzi itakubidi usimchunguze mwanaume wako kama ana mpenzi mwingine au la.
 
Madam, i don't...
Do you?

You've been kinda cranky this week. Are you on your menses or something....?

Coz I know when it's that time of the month your hormones tend to get out of whack.....
 
mwambie rafiki yako aache ujinga

Hapo anatumiwa tu

Miaka minne bado hashtuki tu?

Asepe

Hivi ni miaka mingapi hasa inafaa kuwa katika mahusiano alafu ndoa inafuata ili kuondoa huu utata wa kuwa mtu anatumiwa? Hii itasaidia vijana wengi kujitambua kuwa sasa anatumiwa. Ok, kuna watu wamekuwa wachumba kwa miaka 10 afu wameoana weingine miaka sita. Wengine mpaka leo ni wachumba na wamezaa mfano ni Brad Pitt na Angelina Jolie bado ni wachumba so wanapotezeana muda?
 
Back
Top Bottom