Naombeni msaada wa ushauri jamani

Naombeni msaada wa ushauri jamani

Mtu akizaa na mtu,hawaachani, kwa kuwa wanaunganishwa na mtoto.best yako anaweza achwa, awe mpole tu,

Big no
Kuna ambao wanajiheshimu unakuta hakuna mawasiliano kabisa.
Na hata km yapo hakuna kinachoendelea nina mifano ila sio wote inategemea ss na mtu
 
Hii ni kwa wewe, rafiki yako na wanawake wote. Mwanaume kuwa na mpenzi mmoja HAIWEZEKANI. Jifunzeni kuchangia kama walivyokuwa wakifanya bibi zetu.

Inawezekana sana tu
Yena wapo wengi tu usipotoshe
 
Mmmhhhi mi ningemkomaliapaka kieleweke miaka minne mingi sn
Km vp unasepa
 
my dear mambo ya kina brad pitt waachie wenyewe

kibongo bongo miaka 3 inatosha sana....tena mingi

miaka 10 uchumba gani huo kujizibia bahati, yaani huyo mwanaume hakuona unafaa kua mke mpaka baada ya miaka 10? au unamsubiria akue akuoe?........



Hivi ni miaka mingapi hasa inafaa kuwa katika mahusiano alafu ndoa inafuata ili kuondoa huu utata wa kuwa mtu anatumiwa? Hii itasaidia vijana wengi kujitambua kuwa sasa anatumiwa. Ok, kuna watu wamekuwa wachumba kwa miaka 10 afu wameoana weingine miaka sita. Wengine mpaka leo ni wachumba na wamezaa mfano ni Brad Pitt na Angelina Jolie bado ni wachumba so wanapotezeana muda?
 
Aachane tu na huyo mwanaume maana akiingia kwenye ndoa ndio atakuwa mwaathirika wa ndoa. na heri muathirika wa ukumwi anayeishi kwa matumaini kuliko wa ndoa
 
Labda mshkaji ana tabia ya kukeep record ya x-girls wake na hana ya huyo rafiki yako bcoz hawajaachana bado.
Ila saikolojia inasuggest kuwa hiyo inference yako ni fallacy.
Picha ya mama, ya mtoto na mama yake(This might be normal)
But ya another x-girlfriend?

Well kama ziko in that order inawezekana jamaa ni mkweli na kapitiwa tu kuupdate wallet yake
 
Back
Top Bottom