ABDUL FUNGA
New Member
- Sep 3, 2022
- 4
- 2
Naomben msaada, mimi sijawahi kufanya biashara yoyote ile. Nimemaliza kidato cha nne 2019 na nilikuwa nasoma chuo lakina nimesitisha kwa sababu mbalimbali.
Naombeni msaada wenu, nina mtaji wa laki 5 ndugu zangu nifanye biashara gani?
Naombeni msaada wenu, nina mtaji wa laki 5 ndugu zangu nifanye biashara gani?