Mm nakuja nje ya box kidgo Wataalamu wataongezea .
Kuna issue inaitwa Rhesus factor (Rh) ambayo kila mmoja wapo anayo yakwake .
Inasifa hizi mwanamke ndio anayebeba kiumbe tumboni mwake katika damu yake ana (Rh) yakwake na kiumbe kinachoingia tumboni huwa na (Rh) ambayo inatokana na mchanganyiko wa baba na mama
Ikoje ?
Ikitokea Rh ya mtoto aliyetumboni ikaenda kinyume na Rh ya mama kwa mara yakwanza uwezekano wa kujifungua mtoto salam ni asilimia 100%
Baada ya kujifungua nini hufanyika
Akijifungua ubongo unabeba kumbukumbuku kuwa kuna kiumbe kilikuja katika mji wa mimba kikavamia matokeo yake ,mwili wa mama unajenga kinda kuja kupambana na hali ya kiumbe kinachokuja kwa wakati unaokuja .
Mimba nyingine nini hutokea?
Baada ya mama kubeba mimba ya pili na Rh ya mama na ya mtoto kwakua hazifanani mwili unaamulu kukiua kiumbe kile mwili ukijua kuwa hiki kiumbe si salama kwa mama .
⚠️ jaribu kufika kujua Rh zenu na uchunguzi zaidi .