Ndekirhepva
JF-Expert Member
- May 18, 2012
- 371
- 44
wakuu naweza vipi ku post caption ya screen???????
sijui nimeeleweka??
yani una capture display ya screen yako inakua kama ni picha na una i post labda kama una mpa mtu maelekezo, lets say unamwambia afungue folder flani, then afanye vipi, sasa unamwonyesha kwa hzo picha ulizo capture kwa screen
sijui nimeeleweka??
yani una capture display ya screen yako inakua kama ni picha na una i post labda kama una mpa mtu maelekezo, lets say unamwambia afungue folder flani, then afanye vipi, sasa unamwonyesha kwa hzo picha ulizo capture kwa screen