masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 17,371
- 19,235
Michache Sana almost hakuna kwa hapa Tz, tunachezes hizi hizi fakeplz msiwataje hawa bei zao ni kubwa sana
Kkoo kuna shida gani? Mwanzo ilikuwa usiende makumbusho, sasa hivi mmehamia kwetu!Phone Point Dar (PPD)
Metrozonetech
Justphones
Tech360.
Recommendation: PPD
Note: Usiende Kariakoo
Ni kweli Bongo pekee ndiyo kuna magari ya kike na simu za kike duniani kote?plz msiwataje hawa bei zao ni kubwa sana
Kama unaogopa bei..acha kuulzia vitu OG,utasumbua watu tuplz msiwataje hawa bei zao ni kubwa sana
atawafanya pia waonekane wabayaKama unaogopa bei..acha kuulzia vitu OG,utasumbua watu tu
Naona wanauza macover tu.Gadgets Elites
Hawamajamaa wamenyooka
Na simu pia wanauzaNaona wanauza macover tu.
sawaKama unaogopa bei..acha kuulzia vitu OG,utasumbua watu tu
Ndiyo wasipost simu wapost covers tu!Na simu pia wanauza