naombeni duka linalouza iphone og

naombeni duka linalouza iphone og

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
17,396
Reaction score
19,356
plz msiwataje hawa bei zao ni kubwa sana
 

Attachments

  • IMG_2906.png
    IMG_2906.png
    547.7 KB · Views: 8
Wadau wameshatoa miongozo ya maduka kadhaa, pia na mimi nitaje maduka ya Posta, yale maduka mbele ya yule Askari, kama unaenda posta mpya upande wa kushoto kuna maduka ya simu yamepangana pale. Uwezekano wa kupata simu OG pale ni 100%.
 
Back
Top Bottom